Dodoma FM
Dodoma FM
11 November 2025, 7:13 pm
Mkuu wa Wilaya ya Babati, Emmanuela Kaganda, ameziagiza taasisi za umma zikiwemo shule, zahanati na vituo vya afya ambavyo ni wadaiwa sugu wa ankara za maji, kulipa madeni yao mara moja kabla ya kuanza msako. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha uendelevu…
28 October 2025, 2:48 pm
Mitazamo hasi na kutoaminiwa na jamii ni baadhi ya vikwazo vinavyo wakumba wanawake. Na Mariam Matundu.Moja ya vikwazo wanavyo kutana navyo wanawake katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa ni mitazamo hasi ya kutokuaminiwa na jamii kutokana na mila…
27 October 2025, 3:20 pm
Kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Uchaguzi (NEC), uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 29, 2025, ambapo wananchi kote nchini watapata nafasi ya kuchagua viongozi wao katika ngazi ya Urais, Ubunge na Udiwani. Na Lilian Leopold.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…
20 October 2025, 5:36 pm
Picha ni Kiongozi wa Machifu wa Mkoa wa Dodoma, Chief Yasin Bilinji. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Bilinji, amesema hakuna haja ya kuvunja amani ya taifa ikiwa zoezi la upigaji wa kura ni haki ya msingi kwa kila…
18 October 2025, 7:41 pm
Wanafunzi 195 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Taifa, ambapo wasichana ni 101 na wavulana 94. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 195 wanatarajiwa kuhitimu masomo yao ya Kidato cha Nne mwaka 2025 katika Shule ya Sekondari Bunda Day, ambayo imefanya Mahafali…
13 October 2025, 11:22 am
Picha ni Mwanasheria wa Baraza la Machifu Tanzania akizungumza na waandishi wa habari mkoani Dodoma. Picha na Selemani Kodima. Watanzania watakiwa kujihadhari na taarifa zisizo sahihi zinazotolewa kwenye mitandaoni ya kijamii zenye lengo la kupotosha umma kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba…
8 October 2025, 11:54 am
Wameongeza kuwa Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayosifika kwa utulivu na amani, hivyo ni jukumu la kila mmoja kulinda tunu hiyo muhimu kwa kushiriki uchaguzi kwa utulivu na bila viashiria vya vurugu. Na Victor Chigwada. Licha ya mijadala…
20 August 2025, 5:46 pm
Zoezi la Uchukuaji wa Fomu za uteuzi wa nafasi ya udiwani limeanza tangu Agosti 14 na linatarajia kwenda hadi Agosti 27 kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi agosti 28 mwaka huu. Na Seleman Kodima.Mgombea wa Udiwani kupitia chama cha…
18 August 2025, 3:09 pm
Ikumbukwe kuwa Zoezi la utoaji wa fomu za uteuzi wa kugombea nafasi za Ubunge na Udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 limeanza rasmi tarehe 14 Agosti 2025 na linatarajiwa kumalizika tarehe 27 Agosti 2025, kwa mujibu wa ratiba ya…
12 August 2025, 1:30 pm
Picha ni Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mhe. Mwajuma Noty Mirambo wakati akichukua fomu hapo jana Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.Picha na Tume ya uchaguzi. Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii…