SOKO IHUMWA
13 September 2023, 2:47 pm
Jamii yatakiwa kutambua umuhimu wa kupima afya
Wataalamu wa Afya wanashauri jamii kufanya uchunguzi wa afya mara kwa mara ili kubaini hali zao na namna ya kukabiliana na magonjwa yanayoweza kujitokeza kwa haraka zaidi . Na Richald Ezekiel. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa kupima afya mara kwa…
7 June 2023, 6:18 pm
Serikali yatenga zaidi ya milioni 725 kuzuia, kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza
Dkt. Mollel amesema hayo, leo Juni 7, 2023 wakati akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu Mhe. Bernabetha Kasabago Mushashu katika Bunge la kumi na mbili Mkutano wa kumi na moja kikao cha 42, Jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. NAIBU…
4 April 2023, 3:48 pm
Ufahamu ugonjwa wa P.I.D
Maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke yanayosababishwa na bakteria wakati mwingine huweza kupelekea ugumba. Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi P.I.D ni moja kati ya magonjwa ya zinaa yanayoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke endapo hatapatiwa tiba kwa wakati.
22 March 2023, 6:54 pm
Wananchi watakiwa kuendelea kupata elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji<…
Tanzania ilishuhudia kipindi kirefu cha mlipuko wa Kipindupindu kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018 na Taarifa kutoka shirika la Afya Dunia inaeleza kuwa na mlipuko mkubwa wa Kipindupindu nchini Malawi ambapo hadi kufikia tarehe 15 Machi 2023 kulikuwa na jumla…
8 March 2023, 1:40 pm
Wananchi waishukuru serikali kwa kusaidia ujenzi wa kituo cha afya
Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya kwa kuwasaidia ujenzi. Na Victor chigwada. Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya…
28 February 2023, 6:18 pm
Serikali yasaini mkopo nafuu kuboresha huduma za Afya
Huduma zitakazo boreshwa ni pamoja na kupunguza vifo vya mama na mtoto, kuboresha huduma za dharura, kuboresha rasilimali watu katika Sekta ya afya, kuboresha utendaji na ufanisi kwenye ngazi ya zahanati. Na Pius Jayunga. Serikali ya Tanzania na Banki kuu…
23 January 2023, 11:47 am
Mvumi Misheni walia na gharama za matibabu
Na; Victor Chigwada. Licha ya huduma zinazotolewa katika hospitali ya Mvumi Misheni bado wananchi wametaja gharama za matibabu katika hospitali hiyo kuwa changamoto. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa kijiji cha Mvumi Bw.Alpha Zoya wakati akizungumza na Taswira ya Habari…
21 October 2022, 10:42 am
Ukosefu wa wahudumu wa Afya katika Zahanati ya Chunyu wapelekea huduma hafifu
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa Wahudumu wa afya katika zahanati ya Chunyu wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa changamoto inayowakabilia wananchi pindi waendapo kupata huduma nyakati za Usiku Akizungumza na Taswira ya habari Mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw Abineli Masila amesema zahanati hiyo…
10 May 2022, 2:02 pm
Vyuo vya Afya 20 kuchukuliwa hatua kwa kufanya udanganyifu
Na:Mindi Joseph. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Abel Makubi ameagiza NACTVATE kuvi chukuliwa hatua Vyuo 20 vya afya vilivyokaguliwa na kufanya udanganyifu ili kulinda viwango vya taaluma ya afya Nchini. Akizungumza…
26 March 2021, 9:49 am
Ihumwa waomba kuboreshewa soko
Na; Shani Nicolaus. Wafanyabiashara katika Mtaa wa Ihumwa jijini Dododma wametoa wito wa kukarabatiwa soko lao ili waepukane na changamoto wanayokumbana nayo hasa msimu wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wafanyabiashara hao wameomba kutatuliwa adha hiyo mara baada ya kukamilika…