Dodoma FM
Dodoma FM
25 November 2025, 8:23 am
Mwenyekiti wa mtaa huo Bi Dorini amewaomba wananchi kuendelea kuwa wavumilivu na kushirikiana na serikali za mitaa katika kufanikisha ujenzi wa shule hiyo. Na Anwary Shaban.Wananchi wa Mtaa wa Matiasi jijini Dodoma wameeleza kuendelea kutaabika kutokana na changamoto ya ukosefu…
8 October 2025, 12:37 pm
Mwenyekiti wa Kijiji Cha Muungano Matonya Mtukamsihi amesema zimekuwepo hatua za wananchi kuanzisha ujenzi wa shule ya sekondari lakini hazijafanikiwa kukamilika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji Mzula na Chikanga Kata ya Muungano Wilaya ya Chamwino wameiomba serikali kutimiza azima…
6 May 2025, 5:29 pm
Hata hivyo serikali ilishatangaza ujauzito isiwe sababu ya mwanafunzi kuacha masomo hivyo kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa sababu hizo kurejea shuleni. Na Victor Chigwada. Imeelezwa umbali wa kilomita kumi kuifikia sekondari kwa wanafunzi wa kijiji cha Muungano imekuwa sababu…
30 April 2025, 6:03 pm
Mradi huo umegharimu kiasi cha shilingi milioni 544 laki mbili ishirini na tano mia sita ishirini na sita (544, 225, 600) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu. Na lilian Leopord. Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Matumbulu umetajwa kutatua changamoto…
2 January 2025, 5:56 pm
Wakazi wa kijiji hicho wameendelea kuiomba serikali kuingilia kati suala hilo la ujenzi wa sekondari kijijini hapo kwani ni la muda mrefu. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa Kijiji cha Pangalua kata ya Kidoka wilayani Chemba walalamikia ucheleweshaji wa ujenzi wa Sekondari…
5 March 2024, 6:48 pm
Endapo Ukarabati wa madarasa hayo utafanyika utaweka miundombinu ya shule hiyo katika hali ya usalama kwa wanafunzi katika ujifunzaji. Na Mindi Joseph. Wanachi katika Mtaa wa Chihoni kata ya Nala wameiomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa 4 ya shule ya…
19 January 2022, 2:30 pm
Na ;Benard Filbert. Ujenzi wa madarasa mapya yaliyojengwa kwa fedha za uviko 19 katika kata ya chemba wilayani Chemba imesaidia kupunguza mrundikano wa wanafunzi katika shule ya sekondari Chemba Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Chemba bwana Gadiel Lukumai…