Dodoma FM

Nala

4 April 2024, 5:27 pm

Nala bado yakabiliwa na changamoto ya maji

Serikali kupitia Wizara ya Maji na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 9.14 ikiwa ni hatua za haraka na muda mfupi zilizofanyika za kutatua changamoto ya maji pamoja na uchimbaji na uendelezaji…

4 December 2023, 4:45 pm

Ujenzi daraja la Munguri kuanza Januari mwakani

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema daraja hilo ni lazima lijengwe kwa kuwa ni daraja la kitaifa. Na Nizar Mafita. Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amethibitisha  ujenzi wa daraja la Munguri kuanzia mwezi Januari mwakani. Akitoa maelezo mafupi kwa Waziri…

21 February 2023, 12:17 pm

Waiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kujengewa daraja

Wakazi wa kata ya Dabalo wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwajengea daraja linalounganisha baadhi ya vijijini katika kata hiyo. Na Fred Cheti. Wakazi wa kata ya Dabalo wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wameiomba serikali kuchukua hatua…