Dodoma FM
Dodoma FM
2 December 2025, 3:23 pm
“Tunawahakikishia tunawalink na taasisi mbalimbali za kifedha” Na Anna Milanzi Vijana kutoka katika kikundi cha kijana jitambue kilichopo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamehamasika kulima zao la alizeti kutokana na zao hilo kuwa na thamani . Hayo yamejiri mara baada…
28 November 2025, 9:14 am
KURUNZI MAALUMU Katika hali ya ukame uliokolea na utegemezi wa mvua, hasa Manyara, Orkonerei FM inakuletea Kurunzi Maalumu inayoangazia Kilimo cha Umwagiliaji kama mkombozi mkuu. Sikiliza jinsi wakulima wa Kata ya Terrat, Simanjiro, wanavyotumia vyanzo vidogo vya maji kama korongo…
20 November 2025, 12:06 pm
“wanasema kwamba mashamba yamechoka wanaenda kulima mbali” Na Restuta Nyondo Wakati mkutano wa COP30 ukiendelea wakulima wameeleza matumizi ya mbolea vunde (asili) inavyowasaidia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika uzalishaji wa mazao Katika kipindi hiki utawasikia wakulima na…
19 November 2025, 12:33
Mashamba darasa ni maeneo maalumu yanayotumika kufundishia na kuonesha mbinu mbalimbali za kilimo kwa vitendo na ni darasa wazi linalomuwezesha mkulima kujifunza kwa kuona na kushiriki moja kwa moja katika shughuli za kilimo. Na Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya…
19 November 2025, 12:01 pm
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akikabidhi mbegu kwa mkulima. Picha na Restuta Nyondo “Sisi kama wilaya tumejipanga kuwawezesha vijana waweze kujiajiri katika kilimo” Na Restuta Nyondo Vijana wilayani Mpanda wametakiwa kutumia fursa ya maonesho ya ufunguzi wa msimu…
18 November 2025, 17:16
Wakulima katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kujikita katika kilimo cha kahawa ili waweze kujikwamua kiuchumi Na Emmanuel Kamangu Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma leo Jumanne Novemba 18, 2025, imetoa jumla ya miche 200,000 ya Kahawa…
18 November 2025, 10:20 am
Kurunzi maalum Elimu ya kijinsia ni mchakato wa kujifunza na kupata maarifa, stadi na mitazamo sahihi kuhusu masuala yote yanayohusu jinsia ya binadamu. Sikiliza makala hii kwa elimu zaidi. Lengo la msingi wa elimu ya jinsia ni kuwapa watu uwezo…
17 November 2025, 15:32
Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu imewataka wakulima kutunza vizuri miche ya kahawa waliyopewa ili iweze kuwanufaisha na kuongeza kipato cha familia na Taifa kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Zaidi ya miche Milioni 1.3 ya Kahawa imegawiwa kwa wakulima…
17 November 2025, 08:56
Mkoa wa Kigoma umeanza rasmi utekelezaji wa ujenzi wa masoko pembezoni mwa barabara umeanza ili kuhakikisha wajasiriamali wanapata sehemu ya kuuzia. Na Mwandishi wetu Serikali mkoani hapa inatekeleza mradi wa ujenzi wa masoko madogo 14 yenye Thamani ya Shilingi Mil.490…
10 November 2025, 8:00 am
Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…