mfuko wa jamii
7 December 2023, 8:59 pm
Nguvu iongezwe katika elimu dhidi ya ukatili kwa watoto
Bado tupo katika siku 16 za kupinga ukatili na leo tutaangazia yafuatayo. Na Mariam Matundu. Ikiwa bado maadhimisho ya siku 16 yanaendelea ,imeshauriwa kuwa nguvu kubwa iongozwe katika kutoa elimu ya ukatili kwa watoto ili kuwajengea uwezo wa kutambua na…
28 November 2023, 6:11 pm
Muendelezo wa Siku 16 za kupinga ukatili
Na Mariam Matundu. Tukiwa bado katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia leo tunakuuliza ni njia gani ya haraka unaweza kuitumia kuripoti vitendo vya ukatili ? Leonard mwacha amezungumza na mkuu wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa…
10 August 2023, 2:01 pm
Nini kifanyike kesi za ukatili wa kingono zisimalizwe kifamilia?
Serikali itaendelea kuimarisha mifumo yote ya ulinzi na usalama wa mtoto kama ilivyoelekezwa katika mikataba ya kikanda na kimataifa kuhusu haki na ustawi wa mtoto ili kuhakikisha hakuna mtoto anayefanyiwa vitendo vya ukatili. Na Mariam Matundu. Na leo tumepita Mtaani…
9 August 2023, 5:32 pm
Serikali yaombwa kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo vya ukatili
Picha ni Mkazi wa jiji la Dodoma akizungumzia sheria zinazopaswa kuchukuliwa kwa watu wanaofanya vitendo vya ukatili. Picha na Aisha Shaban. Takwimu zilizotolewa na Jeshi la Polisi zinaonyesha kuwa kuanzia Januari hadi Juni 2021 watu 15131 walifanyiwa ukatili wa kijinsia…
7 August 2023, 2:20 pm
Jinsi jamii inavyopambana na ukatili wa kingono dhidi ya watoto
Familia zinaaswa kuacha kumaliza kesi hizi kifamilia kwani inakuwa haisadii mtu anae fanya vitendo hivi anaweza kufanya kwa mtu mwingine. Na Leonard Mwacha. Jamii inashauriwa kuacha kufumbia macho ukatili dhidi ya watoto hasa ukatili wa kingono kwani umekuwa ukiwaathiri zaidi…
19 December 2022, 8:47 am
Wadau watakiwa kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili
Na; Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ameitaka jamii, wadau kwa nafasi zao kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikitokea katika maeneo mbalimbali nchini. Dkt. Jingu ameyasema hayo…
1 December 2022, 7:49 am
Mila na desturi kandamizi bado ni hatari kwa jamii
Na; Lucy Lister. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine Duniani kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wananchi jijini Dodoma wameeleza kuwa,bado kuna mila na desturi zinazokandamiza ustawi wa mtoto wa kike na mwanamke ikiwemo ukeketaji,kurithi wajane na kutopewa…
29 July 2022, 1:34 pm
Wazazi watakiwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto wao
Na; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kushirikiana na kutoa taarifa pindi wanapoona vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto wao ili kuepusha athari wanazoweza kukutana nazo watoto hao. Hayo yanajiri kutokana na kukithiri kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii…
11 May 2022, 2:02 pm
Wasichana wahofia kuripoti vitendo vya ukatili
Na;Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa asilimia kubwa ya wasichana hawaripoti vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa kwa kuhofia kudhalilika. Taswira ya habari imezungumza na Mkaguzi wa polisi Christer yasinta Mkuu wa dawati la jinsia na watoto Polisi Mkoa wa Dodoma ambapo…
11 August 2021, 12:48 pm
Wakazi Mkoani Dodoma waomba kuboreshewa huduma kupitia mfuko wa jamii wa CHF
Na;Yussuph Hans. Wakazi mkoani hapa wameomba kuboreshewa huduma zinazopatikana kupitia mfuko wa afya wa jamii (CHF) hususani maeneo ya vijijini ikiwemo vipimo pamoja na upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wakazi hao wamesema…