Dodoma FM

mfuko wa jamii

7 December 2023, 8:59 pm

Nguvu iongezwe katika elimu dhidi ya ukatili kwa watoto

Bado tupo katika siku 16 za kupinga ukatili na leo tutaangazia yafuatayo. Na Mariam Matundu. Ikiwa bado maadhimisho ya siku 16 yanaendelea ,imeshauriwa kuwa nguvu kubwa iongozwe katika kutoa elimu ya ukatili kwa watoto ili kuwajengea uwezo wa kutambua na…

28 November 2023, 6:11 pm

Muendelezo wa Siku 16 za kupinga ukatili

Na Mariam Matundu. Tukiwa bado katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia leo tunakuuliza ni njia gani ya haraka unaweza kuitumia kuripoti vitendo vya ukatili ? Leonard mwacha amezungumza na mkuu wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa…

7 August 2023, 2:20 pm

Jinsi jamii inavyopambana na ukatili wa kingono dhidi ya watoto

Familia zinaaswa kuacha kumaliza kesi hizi kifamilia kwani inakuwa haisadii mtu anae fanya vitendo hivi anaweza kufanya kwa mtu mwingine. Na Leonard Mwacha. Jamii inashauriwa kuacha kufumbia macho ukatili dhidi ya watoto hasa ukatili wa kingono kwani umekuwa ukiwaathiri zaidi…

19 December 2022, 8:47 am

Wadau watakiwa kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili

Na; Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ameitaka jamii, wadau kwa nafasi zao kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikitokea  katika maeneo mbalimbali nchini. Dkt. Jingu ameyasema hayo…

1 December 2022, 7:49 am

Mila na desturi kandamizi bado ni hatari kwa jamii

Na; Lucy Lister. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine Duniani kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wananchi jijini Dodoma wameeleza kuwa,bado kuna mila na desturi zinazokandamiza ustawi wa mtoto wa kike na mwanamke ikiwemo ukeketaji,kurithi wajane na kutopewa…

11 May 2022, 2:02 pm

Wasichana wahofia kuripoti vitendo vya ukatili

Na;Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa asilimia kubwa ya wasichana hawaripoti vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa kwa kuhofia kudhalilika. Taswira ya habari imezungumza na Mkaguzi wa polisi Christer yasinta Mkuu wa dawati la jinsia na watoto Polisi Mkoa wa Dodoma ambapo…