Maendeleo
29 June 2021, 12:56 pm
Tanzania yazindua mpango wa Tatu wa maendeleo ya Taifa
Na;Yussuph Hans. Tanzania imezindua mpango wa tatu wa Maendeleo kwa Taifa wa miaka mitano 2021 – 2026. Mpango wa tatu wa maendeleo ya Taifa umegharimu Tsh Trilion 114.8, sekta binafsi ikichangia Tsh Trilion 40.6 huku sekta ya umma ikichangia Tsh…
29 June 2021, 12:07 pm
Siku miamoja za uongozi wa rais Samia ,wachambuzi na wananchi wazungumzia maende…
NA; SHANI NICOLOUS . Kufuatia siku mia moja za Mh. Rais Samia Suluhu Hassan baadhi ya wananchi wamekuwa wakizungumzia kwa marefu na mapana maendeleo ya nchi katika nyanja mbalimbali. Akizungumza na Dodoma fm mchambuzi wamasuala ya kisiasa jijini Dodoma Bw.…
21 May 2021, 12:15 pm
Vijana Dodoma wazitaka taasisi za maendeleo kuwapa elimu
Na; Thadey Tesha Vijana jijini Dodoma wamezitaka taasisi za maendeleo ya vijana kuwapa elimu na kuwahamasisha kuchukua mkopo wa asilimia mbili unaotolewa na Halmashauri kwa ajili ya kuwawezesha kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza na Dodoma fm vijana hao wamesema wanashindwa kunufaika na…
5 March 2021, 1:14 pm
Wananchi Makulu wachekelea umeme wa REA
Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kufanikisha kusambaza umeme kupitia mpango wa umeme Vijijini REA, kwani kwa sasa huduma hiyo imefikia idadi kubwa ya kaya. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…
18 December 2020, 3:52 pm
Adha ya maji Matumbulu kuwa Historia
Na, Benard Filbert, Dodoma. Ili kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Matumbulu Mkoani Dodoma Serikali imeelekeza nguvu zake katika kutatua adha hiyo ili kuleta unafuu kwa wananchi.Akizungumza na taswira ya habari afisa mtendaji wa Kata hiyo…
8 December 2020, 12:48 pm
Tanzania na Korea zatiliana saini mkopo wa Bilioni 684.6 kusaidia miradi mbalim…
Na Alfred Bulahya, Dodoma. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini Mkataba na Serikali ya Jamhuri ya Korea wenye thamani ya dola za Marekani milioni 300, sawa na shilingi bilioni 684.6 za Tanzania kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali…