madaktari
4 September 2023, 1:56 pm
Wananchi walalamika kutolipwa fidia mradi wa bwawa Nagulo na Uhelela
Kwa kujibu wa viongozi hao wanasema kuwa mradi huu ulianza tangu mwaka 2021 ambapo lengo ni kuwasaidia wananchi wa eneo hilo kufanya shughuli ndogondogo za kilimo ikiwemo mbogamboga. Na Thadei Tesha. Wananchi katika kijiji cha Uhelela na Nagulo kata ya…
20 October 2022, 11:59 am
Bilioni 27 zatarajiwa kutumika ujenzi wa bwawa Chunyu
Na;Mindi Joseph. Bilioni 27 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika kijiji cha chunyu wilayani mpwawa ili kutatua changamoto ya uzalishaji hafifu wa Chakula. Hivi karibuni wanachi wa kijiji hicho wameelezea kuwa ukosefu wa Bwawa na Skimu za…
23 October 2021, 3:23 pm
Baraza la Madaktari Tanganyika laridhia kufanyika kwa mtihani maalum kwa wanafun…
Na;Mindi Joseph . Baraza La Madaktari Tanganyika limeridhia na kuruhusu kufanyika kwa Mtihani Maalumu Kwa Wanafunzi Wa Udaktari Wanaotarajia Kujiunga Na Utarajali Huku Nafasi Hiyo ikilenga tu wale Waliokutana Na Changamoto Wakati Wakifanya Usajili Lakini Hawakuwa Na Vigezo. Akizungumza na…