Dodoma FM
Dodoma FM
28 July 2023, 15:40
Wafanyabiashara wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kurasimisha taarifa za biashara za mazao wanazofanya ili waweze kutambulika na Wizara ya Kilimo Na, Tryphone Odace Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma imeanza zoezi la usajili wa wafanyabiashara wa mazao na wenye…
July 3, 2023, 12:17 pm
Wananchi wa halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kuhifadhi mazao katika msimu huu ili kuepuka uhaba wa chakula. Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhifadhi mazao ya chakula kutokana na upungufu…
11 December 2022, 6:51 pm
Wakulima wabnaohudumiwa na chama kikuu cha Ushirika RUNALI kinachohudumu katika wilaya za Ruangwa,Nachingwea na Liwale mkoani Lindi, wametakiwa kutumia pesa zao za korosho kununua chakula na kuhifadhi kutokna na uwapo wa dalili ya janga la njaa lililosabishwa na ukame kwa…
5 November 2021, 1:46 pm
Na; Fred Cheti. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Novemba 5 ameshiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa kumbukumbu ya Maisha ya Hayati Maalim Seif Sharif Hamad. Akizungumza katika mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya…