Hotuba ya Rais
18 January 2024, 8:25 am
Mwanafunzi afariki kwa kugongwa na gari katika kivuko
Siku ya Jumapili Mtoto Abia akiwa na wenzake Sita Majira ya Saa tisa mchana wakiwa wanatoka kanisani aligongwa na gari wakati akijaribu kuvuka na mtoto mwingine aitwae Maria ambae yeye alifariki papo hapo. Na Fred Cheti.Hatimae Mazishi ya Mtoto Abia…
7 November 2023, 3:05 pm
Mtoto wa miaka minne afariki baada ya kutumbukia kisimani Mpwapwa
Na Fred Cheti Mtoto mwenye umri wa miaka 4 aliyefahamika kwa jina la Denis Emanuel amefariki dunia baada ya kuteleza na kudumbukia katika kisima cha maji alipokuwa akicheza kando ya kisima hicho katika kijiji cha Ilolo wilaya ya Mpwapwa mkoani…
12 May 2023, 12:19 pm
Wanafunzi wawili wafariki Dunia na wengine 31 kujeruhiwa katika ajali ya gari
ASP Ramadhani amesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi kasi uliosababisha gari kumshinda dereva kuacha njia na kupinduka ambapo hadi sasa dereva huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo. Na Bernad Magawa Wanafunzi wawili wa shule ya sekondari…
22 April 2021, 3:46 pm
Rais Samia akusudia kukutana na viongozi wa kisiasa
Na; Mariam Kasawa. Rais Samia ameliambia Bunge kuwa anapanga kukutana na viongozi wa kisiasa ili kwa pamoja waweke msimamo wa kuendesha shughuli za kisiasa. Rais Samia amesema hayo wakati akitaja namna anavyopanga kuboresha mazingira ya uhuru na demokrasia nchini Tanzania.…
22 April 2021, 8:39 am
Watanzania wanatarajia nini kwenye hotuba ya Rais Samia ?
Na; Mariam Kasawa Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani. Hii itakuwa ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo tangu aapishwe kuwa Rais Machi…