Dodoma FM

Hewa ya ukaa

25 April 2024, 6:38 pm

Gesi ya ukaa hatari kwa mazingira

Kuboresha na kutunza mazingira ardhini na baharini ni mojawapo ya mikakati mikuu ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa uzalishaji wa gesi ya ukaa usipopunguzwa kwa asilimia 7.6 kila mwaka dunia haitaweza kufikia nyuzijoto 1.5 za kiwango…

6 September 2023, 2:27 pm

Upungufu wa madarasa Vilindoni wasababisha mrundikano wa wanafunzi

Jumla ya madarasa 19 yanahitajika kujengwa katika shule hiyo ili kupunguza mrundikano wa wananfunzi darasani. Na Mindi Joseph. Upungufu wa madarasa katika shule ya msingi Vilindoni umesababisha mrudukano wa wananfunzi darasani. Darasa moja wanafunzi wanakadiriwa kukaa 90 hadi 100. Hapa…

24 April 2023, 2:56 pm

Wananchi Bahi watarajia kuchangia Zaidi ya madawati 10,000

Pamoja na wilaya ya Bahi kuwa na mafanikio makubwa kitaaluma katika mkoa na taifa, tatizo la kukosekana kwa madawati lisipodhibitiwa linaweza kuwa chanzo cha kupotea kwa mafanikio hayo. Na. Bernad Magawa. Wananchi wilayani Bahi wanatarajia kuchangia zaidi ya Madawati elfu…

28 February 2023, 4:27 pm

Nollo kumwaga Madawati 800 shule za Msingi

Halmashauri ya wilaya ya Bahi ambayo kwa miaka mitatu mfululizo imekuwa na sifa kubwa katika  idara ya elimu Msingi. Na Bernad Magawaa MBUNGE wa Jimbo la Bahi . Kenneth Nollo ameahidi kutoa madawati 800 ikiwa ni sehemu ya  kuanza kupunguza…