Dodoma FM
Dodoma FM
19 December 2024, 8:43 pm
Elimu yahitajika zaidi kwa wananchi ili kuendelea kupambana na vitendo vya ukatili katika jamii kwakuwa hali bado si shwari. Na Kale Chongela: Wakazi wa Geita mjini wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili na…
18 December 2024, 09:25
Wakulima katika Wilaya za Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuzingatia matumizi ya mbegu bora za kilimo zinazohimili magonjwa na kutumia viwatilifu ili kusaidia kukabiliana na wadudu wanaoshambulia mashamba. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Mashamba ya mahindi katika Halmashauri za Wilaya ya…
11 December 2024, 09:42
Katibu tawala Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka viongozi kuhakikisha wanafanya juhudi zote za kuwashirikisha wananchi kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maenedeleo ili kusaidia kutogomea miradi au kuhujumiwa katika maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi wa Serikali za…
6 December 2024, 12:18
Pichani ni waziri mkuu wa Tanzania Kassimu Majaliwa akiwa kwenye mahafali ya 43 ya chuo kikuu Huria cha Tanzania ambayo yamefanyika Mkoani Kigoma Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kasimu Majaliwa amesema serikali itaendelea kuunga mkono kwa vitendo sekta ya Elimu…
5 December 2024, 12:49 pm
Matukio ya ukatili kwa watoto bado ni pasua kichwa, jamii yatakiwa kushikamana ili kukomesha kabisa vitendo hivyo. Na: Sammy Manilaho – Geita Wakazi wa halmashauri ya mji wa Geita wamelaani vikali tukio la mama kumchoma moto mtoto wake kwa kutumia…
3 December 2024, 11:22
Mkuu wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Kanali Isac Mwakisu amesema serikali itaendelea kuwasaidia wakulima kwa kuwawezesha nyenzo mbalimbali zitakazowawezesha kulima kilimo chenye tija. Na Michael Mpunije – Kasulu Halmshauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekabidhi baiskeli 27 kwa wakulima…
18 November 2024, 14:56
Madiwani wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili iweze kutambua mipaka ili kuwsaidia kupunguza migogoro ya ardhi katika ya wakulima na wafugaji. Na Emmanuel Kamangu Migogoro ya wafugaji na wakulima katika wilaya ya uinza na wilaya ya kasulu yaongezeka ikichangiwa…
8 November 2024, 17:53
Mkuu wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye ameutaka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) Mkoa Kigoma kuhakikisha upatikanaji wa vitendea kazi kwenye sekta ya maji unajibu mipango ya Rais Samia katika kusogeza huduma karibu na wananchi ya kumtua mama ndoo…
6 November 2024, 5:48 pm
“Uhai ni maji na wanasayansi wanasema robo tatu ya dunia na mwili wa binadamu ni maji kwa kulitambua hilo wananchi waipongeza serikali kwa miradi ya maji”. Na, Daniel Manyanga Wananchi mkoani Simiyu wanaopata maji kwa kusuasua kutokana na kukosa vyanzo …
5 November 2024, 15:34
Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma imesema itaendelea kugawa miche ya michikichi kwa wakulima ili kuhakikisha inatekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa la kila halmashauri kugawa miche kwa wakulima kama mkakati wa kukabiliana na uhaba wa…