uchumi
21 May 2021, 12:15 pm
Vijana Dodoma wazitaka taasisi za maendeleo kuwapa elimu
Na; Thadey Tesha Vijana jijini Dodoma wamezitaka taasisi za maendeleo ya vijana kuwapa elimu na kuwahamasisha kuchukua mkopo wa asilimia mbili unaotolewa na Halmashauri kwa ajili ya kuwawezesha kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza na Dodoma fm vijana hao wamesema wanashindwa kunufaika na…
18 May 2021, 7:41 am
Wazazi: Vijana wageuze elimu zao kuwa chanzo cha ajira
Na; Alfredy Sanga Baadhi ya vijana wameeleza jinsi ambavyo kijana anaweza kujiajiri na kutafuta fursa mbali mbali katika kujikwamua kimaisha, badala ya kutegemea kuajiriwa kutokana na ukosefu wa ajira nchini. Wakizungumza na taswira ya habari vijana hao wamesema kitu kikubwa…
17 May 2021, 1:40 pm
Imani ndogo usimamizi wa fedha changamoto kwa wanawake
Na; Yussuph Hans Ujuzi wa usimamizi wa masuala ya fedha pamoja na kukosa umiliki wa uchumi ni baadhi ya changamoto ambazo zimeendelea kuwakumba Wanawake Nchini. Licha ya changamoto hizo kumekuwepo na kundi la wanawake ambao wanamiliki Uchumi kupitia Ajira katika…
11 May 2021, 1:08 pm
Wananchi wametakiwa kuunga mkono juhudi za kuhamasisha ubunifu wa teknolojia,
Na; Fred Cheti . Serikali imewataka wananchi kuunga mkono juhudi zake katika kuhamasisha ubunifu wa teknolojia ili matumizi yake yaweze kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Wito huo umetolewa leo na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
10 May 2021, 12:23 pm
Serikali yaahidi kuwalinda wabunifu na wavumbuzi ili kuendelea kutengeneza ajira…
Na;Mindi Joseph Serikali imesema itaendelea kuwalinda wabunifu na wavumbuzi mbalimbali kupitia sheria ya alama ya biashara na huduma ya mwaka 2000 ili kuendelea kutengeneza ajira nchini. Akizungumza na Taswira ya habari Raphael Mtalima Afisa utumishi na utawala mwandamizi kutoka Brela…
10 May 2021, 11:24 am
Wafugaji watakiwa kutumia njia bora za ulishaji wa mifugo
Na; Thadei Tesha. Wafugaji nchini wameshauriwa kutumia njia bora za kisasa na kiteknolojia za kulisha mifugo ili kuleta tija katika soko la mifugo nchini. Akizungumza katika mahojiano maalum na kipindi cha taswira ya habari mtaalamu na mtafiti kutoka kituo cha…
5 May 2021, 12:58 pm
Utekelezaji ujenzi wa bomba la gesi dar es salaam hadi mombasa kukuza uchumi wa…
Na; Shani Nicolaus Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu na Rais wa Kenya Uhuru Kenyata kuhusu ujenzi wa bomba la gesi kutoka Dar es Salaam hadi Mombasa yatafungua fursa za kiuchumi kwa mataifa yote mawili. Hayo yameelezwa…
4 May 2021, 11:51 am
NGOs zatakiwa kusimamia miradi inayo lenga kuwasaidia wananchi
Na; Mariamu Matundu. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii, Mwanaidi Ali Khamis ameyaagiza Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) nchini kuhakikisha miradi yanayoisimamia inalenga kuwasaidia wananchi ili waweze kujikwamua kiuchumi. Naibu Waziri…
13 April 2021, 11:31 am
Ujenzi wa Bomba la Mafuta utachangia kukuza uchumi wa Tanzania
Na ;Benard Filbert. Kuanza kwa ujenzi wa mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima Nchini Uganda hadi Tanga Tanzania mwishoni mwa mwezi huu kunatarajiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa watanzania wengi. Hayo yamebainishwa na mchambuzi wa masuala ya kisiasa na…
12 April 2021, 12:48 pm
Wananchi changamkieni fursa , Bomba la mafuta la hoima
Na; Mariam Matundu. Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amewataka wananchi kujitokeza kuchangamkia fursa ambazo zitajitokeza Katika Hatua zote za Utekelezaji wa Ujenzi wa Mradi wa kimkakati wa Bomba la Mafuta la hoima Mpaka Tanga ambao unaanza Mwezi huu .…