Dodoma FM

uchumi

8 April 2021, 1:46 pm

Tanzania kujenga uchumi shindani wa viwanda

Na; Mindi Joseph Serikali imesema inaendelea na maandalizi ya mikakati ya utekelezaji wa mpango wa 3 wa maendeleo wa Taifa kwa kipindi cha miaka 5 unaolenga kujenga uchumi shindani wa viwanda kwa maendeleo ya watu. Mapendekezo ya mpango huo yamesomwa…

8 April 2021, 12:00 pm

ATCL yatengeneza hasara, ripoti ya CAG

Na; Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa kwa Miaka Mitano mfululizo shirika la Ndege Tanzania ATCL imetengeza hasara ambapo kwa mwaka huu limesababisha hasara ya shilingi Bilioni sitini (60 ) na Milioni miambili arobaini na sita (246). Hayo yamebainishwa  mbele ya waandishi…

7 April 2021, 10:09 am

Hatimaye Soko la Sabasaba lapata uongozi

Na; Shani Nicolous Katibu wa Soko la Sabasaba jijini Dodoma Bw.Isaka Nyamsuka amesema kuwa wamejipanga vyema kwa ajili ya kutatua changamoto mbalimbali  zinazowakabili wafanyabiashara. Bw.Nyamsuka amesema kuwa tayari wameanza kuyatekeleza baadhi ya majukumu ikiwepo kusimamia usafi na kupanua baadhi ya…

5 December 2020, 11:53 am

TAWOMA watakiwa kujenga masoko mapya ya madini

Na Alfred Bulahya, Dodoma. Serikali imekitaka Chama Cha wachimba Madini Wanawake Tanzania (TAWOMA) kuendelea na juhudi za kujenga masoko mapya ya Madini ili kuhamasisha upatikanaji wa soko la Madini hasa Yale yasiyo na thamani.Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dodoma na…