TMA
27 September 2023, 5:42 pm
Wanafunzi 180 wa kidato cha tano hawajaripoti shuleni Msalato
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametembela Jumla ya Miradi Mitatu inayoendelea Jijini Dodoma ikiwemo Ujenzi wa Mabweni Mawili ya Shule ya Sekondari Msalato, Hospitali ya Wilaya inayojengwa katika Kata ya Nala na Ujenzi wa Shule ya Sekondari Mpamaa…
21 July 2023, 3:10 pm
Serikali yaendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini
Ziara hiyo ambayo ilianzia shule ya sekondari Chilonwa kwaajili ya kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa na Mabweni ilihitimishwa shule ya Msingi mizengo pinda ambapo benki ya NMB ilikuwa ikikabidhi vifaa mbalibali vya ujifunzaji shuleni hapo iliwemo viti na vifaaa…
21 June 2023, 3:16 pm
Chongolo: Watoto wasimamiwe waende shule
Chongolo amesema wakati watoto wanapokuwa mashuleni sio wakati wa viongozi kukaa ofisini badala yake wajipange na kuratibu kuhakikisha watoto wote wanajiunga na masomo na si vinginevyo. Na Bernadetha Mwakilabi. Katibu mkuu wa Chama Chama Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo amewataka…
14 April 2023, 1:59 pm
RAS Dodoma aridhishwa na utekelezaji wa Miradi Bahi.
Gugu ameeleza kuridhishwa kwa kiasi kikubwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kutoa pongezi kwa uongozi wa halmashauri. Na Bernad Magawa. Katibu tawala wa mkoa wa Dodoma Ally Gugu ameeleza kufurahishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo wilayani Bahi huku…
21 April 2022, 3:36 pm
TMA yatakiwa kuweka vipaumbele katika kuboresha huduma
Na;Mindi Joseph . Waziri wa ujenzi na uchukuzi Prof Makame Mbarawa ameitaka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kuweka vipaumbele zaidi katika kuboresha zaidi huduma zote wanazozitao kwa jamii. Akizungumza leo jijini Dodoma katika Ufunguzi wa kikao cha Baraza…