Dodoma FM

TMA

21 July 2023, 3:10 pm

Serikali yaendelea kuboresha miundombinu ya elimu nchini

Ziara hiyo ambayo ilianzia shule ya sekondari Chilonwa kwaajili ya kukagua ujenzi wa vyumba vya madarasa na Mabweni ilihitimishwa shule ya Msingi mizengo pinda ambapo benki ya NMB ilikuwa ikikabidhi vifaa mbalibali vya ujifunzaji shuleni hapo iliwemo viti na vifaaa…

21 June 2023, 3:16 pm

Chongolo: Watoto wasimamiwe waende shule

Chongolo amesema wakati watoto wanapokuwa mashuleni sio wakati wa viongozi kukaa ofisini badala yake wajipange na kuratibu kuhakikisha watoto wote wanajiunga na masomo na si vinginevyo. Na Bernadetha Mwakilabi. Katibu mkuu wa Chama Chama Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo amewataka…

14 April 2023, 1:59 pm

RAS Dodoma aridhishwa na utekelezaji wa Miradi Bahi.

Gugu ameeleza kuridhishwa kwa kiasi kikubwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kutoa pongezi kwa uongozi wa halmashauri. Na Bernad Magawa. Katibu tawala wa mkoa wa Dodoma Ally Gugu ameeleza kufurahishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo wilayani Bahi huku…

21 April 2022, 3:36 pm

TMA yatakiwa kuweka vipaumbele katika kuboresha huduma

Na;Mindi Joseph . Waziri wa ujenzi na uchukuzi Prof Makame Mbarawa ameitaka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kuweka vipaumbele zaidi katika kuboresha zaidi huduma zote wanazozitao  kwa jamii. Akizungumza leo jijini Dodoma katika Ufunguzi wa kikao cha  Baraza…