Siasa
4 April 2024, 5:01 pm
Nini kikwazo cha usawa wa kijinsia kwenye uongozi wa kisiasa
Kutokana na hali hiyo Mariam Matundu amezungumza mtaalamu kutoka shuo cha serikali za mitaa Hombolo na ameanza kuuuliza nini kikwazo katika usawa wa kijinsia kwenye uongozi wa kisiasa. Na Mariam Matundu.Leo tunaangazia uongozi katika siasa ,ambapo kwa mujibu wa takwimu…
20 March 2024, 4:50 pm
Bado tunatazama Ushiriki wa Vijana kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa
Katika kufahamu hilo ,Taswira ya habari imezungumza na Charles Ruben Afisa Miradi wa Taasisi ya DOYODO anaelezea ushiriki wa Vijana katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Mwandishi wetu. Mwaka 2024 Tanzania tutashuhudia Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambapo Vijana…
29 June 2021, 12:07 pm
Siku miamoja za uongozi wa rais Samia ,wachambuzi na wananchi wazungumzia maende…
NA; SHANI NICOLOUS . Kufuatia siku mia moja za Mh. Rais Samia Suluhu Hassan baadhi ya wananchi wamekuwa wakizungumzia kwa marefu na mapana maendeleo ya nchi katika nyanja mbalimbali. Akizungumza na Dodoma fm mchambuzi wamasuala ya kisiasa jijini Dodoma Bw.…
19 May 2021, 1:39 pm
Philip Mpango:viongozi watumie nafasi zao kwa uadilifu na maslahi ya taifa.
Na; Yussuph Hans Wakuu wa Mikoa wametakiwa kusimamia uchumi wa Nchi kwa kushughulika na Viongozi wazembe, kuheshimu Miiko ya kazi pamoja na kutatua Changamoto za Wananchi. Akizungumza mara baada hafla ya uapisho wa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Taasisi…