makao ya watoto
13 December 2023, 8:17 pm
Wakazi wa Azimio waombwa kuwa watulivu sakata la mgogoro wa ardhi
Hivi karibuni Waziri wenye dhamana ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Mh.Jerry Silla alielekeza watendaji wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha ndani ya siku mia moja kuanzia Sept 4-2023 wanatatua migogoro ya ardhi kwa kadri ya uwezo wa nafasi…
28 November 2023, 6:00 pm
Waziri Mkuu atoa Tamko mradi uboreshaji milki za Ardhi
Mradi huu unatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano (5) na una vipengele vinne (4) ambavyo ni Kuongeza Usalama wa Milki; Kuimarisha Mifumo ya Taarifa za Ardhi; Kujenga Miundombinu ya Ardhi na Usimamizi wa Mradi. Na Seleman Kodima. Wakurugenzi wa Halmashaurii…
18 October 2023, 9:48 am
Wakazi wa Nholi waaswa kuepuka migogoro ya ardhi
Kupitia zoezi la urasimishaji wa ardhi nchini itasaidia kutoa hati ya umiliki wa vipande vya ardhi na kupunguza changamoto za kugombania na mashamba. Na Victor Chigwada. Wito umetolewa kwa wananchi wa kijiji cha Nholi kuepukana na migogoro ya ardhi…
7 September 2023, 2:51 pm
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano mradi wa uboreshaji milki za ardhi
Chalinze ni miongoni mwa halmshauri 41 zinakazopitiwa na mradi wa Uboreshaji usalama wa milki za ardhi, ambapo Zaidi ya viwanja 7,600 vimepimwa, huku viwanja 50,000 vikitarajiwa kupimwa mpaka mwisho wa mradi huo. Na Seleman Kodima. Wakazi wa Chalinze wametakiwa kutoa…
4 September 2023, 4:09 pm
Kigoma Ujiji kupima, kusajili makazi 10,000 katika mitaa 25
Mradi huu umelenga kuboresha usalama wa milki za ardhi kwa kupanga, kupima na kusajili milki za ardhi zipatazo milioni 2.5 zinazojumuisha hatimilki 1,000,000 na Leseni za Makazi 1,000,000 katika maeneo ya mijini na Hati za Hakimilki za Kimila 500,000 vijijini.…
29 August 2023, 4:00 pm
Wakazi Bihawana watakiwa kujitokeza kuhakiki taarifa za ardhi
Lengo la mradi wa LTIP ni kuboresha ufanisi katika utawala wa ardhi na kuongeza usalama wa milki kwenye maeneo ya mradi. Na Seleman Kodima. Wakazi wa mtaa wa Bihawana kata ya Mpunguzi jijini Dodoma wametakiwa kujitokeza hapo kesho kwa ajili…
24 July 2023, 1:10 pm
Mpango matumizi ya ardhi kupitia LTIP kiboko ya migogoro ya ardhi
Mradi wa Uboreshaji wa milki salama za ardhi utawezesha haki kupatikana na kufanikisha uwepo wa ushirikiano wa familia kati ya mume na mke na upatikanaji wa hati za kimila . Na Seleman Kodima. Viongozi wa serikali za Mitaa wametakiwa kutoa ushauri…
30 June 2023, 4:34 pm
Wizara ya Ardhi yajadili namna ya kumaliza migogoro ya ardhi Dodoma
Juni 30 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula atakutana na wananchi jijini Dodoma Kusikiliza changamoto za upatikanaji wa hatimiliki ya ardhi. Na Mindi Joseph. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula…
24 February 2023, 3:05 pm
Wizara ya ardhi yaanza majarabio usalama wa milki za ardhi
Mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi una lengo la kwenda kuongeza idadi ya miamala itokanayo na nyaraka za umiliki. Na Selemani Kodima Wizara ya ardhi kupitia ofisi ya Ardhi mkoa wa Dodoma imeanza majaribio ya mradi wa Uboreshaji…
23 February 2023, 4:46 pm
Wananchi waelezwa utaratibu wa kupata Hati miliki za Ardhi
hati miliki zina faida nyingi kwa Serikali na wananchi ikiwemo kupata fursa za mikopo katika ofisi za kifedha. Na Benadetha Mwakilabi. Wananchi wameelezwa umuhimu na utaratibu wa kupata hati miliki za ardhi ili ziweze kuwasaidia katika fursa mbalimbali ikiwemo mikopo.…