jamii
12 September 2021, 9:51 am
Magazeti ya leo 12 Septemba 2021
18 August 2021, 1:04 pm
Wadau waomba waandishi wa habari kuongeza weledi katika masuala ya jinsia
Na; Mariam Matundu. Wadau wa masuala ya jinsia wameomba waandishi wa habari Nchini kuongeza weledi katika masuala ya jinsia ili kuondoa mitazamo hasi hasa kwa viongozi wanawake pale wanapofanya nao mahojiano . Wakizungumza na taswira ya habari wadau hao wamesema…
17 August 2021, 11:33 am
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa watoto wasiopungua 10 wameuawa kutokana na kupigwa na kuchomwa moto ndani ya jiji la Dodoma katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kitendo ambacho kinatajwa kuwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hayo yamebainishwa leo na…
16 August 2021, 1:33 pm
Jamii yaombwa kumsaidia mtoto Feisal
Na; Mariam Matundu. Jamii imeombwa kumsaidia mtoto faisal ambae amezaliwa na uleamvu kupata bima ya afya na mahitaji mengine muhimu kwa kuwa anaishi katika mazingira magumu. Mtoto faisal anaishi na mama yake huku baba mzazi wa mtoto huyo hajulikani alipo,mwandishi…
4 August 2021, 10:46 am
Jamii imetakiwa kufichua mimba za utotoni ili kumkomboa mtoto wa kike
Na;Benard Filbert. Jamii imeombwa kutokufumbia macho na badala yake kufichua vitendo vya mimba za utotoni ili kuepusha kumkosesha haki za msingi mtoto wa kike. Wito huo umetolewa na afisa maendeleo kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Bi Onalatha…
29 July 2021, 10:30 am
Jamii imetakiwa kuto puuza swala la kuandika wosia ili kuepusha changamoto zinaz…
Na; Shani Nicolous. Jamii imetakiwa kutokupuuza suala la kuandika wosia kuhusiana na masuala ya mirathi kwani kumekuwa na changamoto nyingi zinazojitokeza katika ugawaji wa mali za marehemu. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live msaidizi wa kisheria kutoka…
27 July 2021, 1:13 pm
Jamii yatakiwa kujifunza ili kuepusha matukio yanayo tokea
Na; Shani Nicolous. Kufuatia kwa matukio mbalimbali ya moto katika jamii hususani wanawake kuchoma nyumba za wananume kwa wivu wa mapenzi jamii imetakiwa kufunguka na kujifunza namna ya kuepusha matukio hayo. Akizungumza na Dodoma fm Mwanasaikolojia kutoka shirika la kisedet…
14 July 2021, 1:49 pm
Wanaume wilayani Kongwa watakiwa kutambua majukumu yao katika familia
Na; Benard Filbert. Wanaume katika kata ya Chiwe wilayani Kongwa wametakiwa kuepuka kutelekezea wanawake majukumu ya familia ikiwemo kusomesha watoto na badala yake washiriki kwa pamoja. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata ya Chiwe Bw. Dastan Chinyali wakati akizungumza na…
25 June 2021, 1:35 pm
Asasi za kiraia zapongezwa mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Na; Benard Filbert. Kamishna msaidizi wa kinga na huduma za jamii kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Bi.Moza Makumburi amezipongeza asasi mbalimbali za kiraia zinazoshirikiana na Serikali kuzuia matumizi na biashara hiyo nchini. Akizungumza na Dodoma…
31 May 2021, 3:36 pm
Viongozi wa Dini waombwa kuimarisha mafundisho ya kiroho
Na;Yussuph Hans. Wito umetolewa kwa Viongozi wa dini kuendelea kuimarisha Malezi na mafundisho ya kiroho ndani ya jamii ili kuepusha mmomonyoko wa maadili na kujenga kizazi bora. Wito huo umetolewa na wakazi jijini hapa wakati wakizungumza na taswira ya habari…