Utamaduni
8 Oktoba 2024, 6:40 um
Zijue sheria za mazingira kuepuka adhabu
Na Mariam Kasawa. Wananchi wametakiwa kuzitambua sheria mbalimbali za usimamizi wa mazingira pamoja adhabu zake endapo sheria hizo zitakiukwa ili kuepuka kuvunja sheria . Bwn. Onesmo Nzinga mwanasheria kutoka baraza la uhifadhi na usimamizi wa mazingira NEMC amesma hayo wakati…
18 Septemba 2024, 7:42 um
Migahawa Hombolo yavutia kwa usafi
Wanafunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mtaa Hombolo wanasema hali ya usafi kwa baadhi ya watoa huduma ya chakula imeimarika. Na Mindi Joseph. Suala la usafi jambo ni muhimu katika kujikinga dhidi magonjwa yasababishwayo na uchafu. Hivyo ni jambo la…
17 Septemba 2024, 8:59 um
Dunia yaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhifadhi tabaka la Ozoni
Serikali imetakiwa kuanzia ngazi ya chini katika maadhimisho mbalimbali yanayo husiana na utunzaji wa mazingira ili kuwajengea uelewa wananchi. Na Mariam Kasawa Tanzania imeungana na Dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuhifadhi Tabaka la Ozoni (Ozone) amapo kauli mbiu ya…
13 Septemba 2024, 7:29 um
Sango Darajani hatarini magonjwa ya mlipuko
Wafanyabiashara wa vyakula wanasema eneo hilo ni hatari kwa biashara zao kwani inaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko. Na Fatuma Maneno . Wananchi na wafanyabiashara wa Sango Darajani jijini Dodoma katika soko la Majengo, wamehofia usalama wa afya zao kutokana na…
11 Septemba 2024, 10:24 mu
Changamoto ya taka Geita mjini bado kizungumkuti
Changamoto ya taka Geita mjini bado ni kitendawili wananchi watajwa kuwa kikwazo kwa kushindwa kupeleka taka hizo sehemu husika. Na Amon Bebe: Licha ya uwepo wa gari linalopita mtaani kukusanya taka katika Halmashauri ya Mji wa Geita mkoani Geita baadhi…
10 Septemba 2024, 7:22 um
Urejeshaji taka fursa mpya kwa vijana
Na Mariam Kasawa. Mahfoudh Haji ni makamu mwenyekiti wa taasisi ya Green Samia Foundation anasema taka ni fursa hasa kwa vijana lakini uelewa bado ni mdogo kwani wengi wanaamini waokota taka rejeshi ni watu duni hivyo kuidharau kazi hii. Kutokana…
9 Septemba 2024, 7:52 um
Tabiawatu ni chanzo cha uharibifu wa mazingira
Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Na Mindi Joseph. Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Tabia watu inasababishwa na shughuli za binadamu zisizo endelevu ikiwemo matumizi ya nishati chafu ufugaji…
5 Septemba 2024, 8:02 um
Taka ni fursa kwa uwekezaji na ajira
Bidhaa zinazozalishwa kutokana na taka za mifuko chakavu na plastiki cha Future Corolful kilichopo Jijini Dodoma Na Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muunganona Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amefanya ziara ya kukagua uzingatiaji wa sheria…
20 Agosti 2024, 6:31 um
Naibu PM azindua mwongozo usimamizi wa huduma za majitaka, tope kinyesi
Picha ni Mwakilishi wa Mgeni Rasmi katika kongamano la kwanza la kitaifa la Usafi wa Mazingira 2024 ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu) William Lukuvi. Picha na Selemani Kodima. Wizara ya Maji kwa kushirikiana na Ofisi…
16 Agosti 2024, 22:42
Naweni mikono, tunza mazingira kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa nyani
Wakati serikali ikiendelea na mapambano ya ugonjwa wa nyani ulizuka katika baafhi ya nchi ikiwemo zile za jumuiya ya Afrika mashariki wananchi wanapaswa kuunga jitihada hizo na kuchukua tahadhali. Na Hobokela Lwinga Wananchi mkoani Mbeya wametakiwa kuchukua fahadhari dhidi ya…