Radio Tadio

Utamaduni

5 September 2024, 8:02 pm

Taka  ni fursa  kwa uwekezaji na ajira

Bidhaa zinazozalishwa kutokana na taka za mifuko chakavu na plastiki cha Future Corolful kilichopo Jijini Dodoma Na Mariam Kasawa. Waziri  wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muunganona Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji  amefanya ziara ya kukagua  uzingatiaji wa sheria…

13 August 2024, 4:36 pm

Wawekezaji watakiwa kufanya tathmini ya athari kwa mazingira

Tathmini ya athari kwa mazinngira na jamii inajumuisha tathmini mbalimbali, kuanzia uchanganuzi wa bioanuwai na ubora wa maji hadi athari za matumizi ya ardhi na jamii ya wenyeji wa eneo husika. Na Mariam Kasawa.Wawekezaji wametakiwa kufanya tathmini ya athari kwa…

12 August 2024, 3:51 pm

Taka za kielektroniki ni fursa na ajira

Shirika la Kazi Duniani, ILO linasema licha ya uzalishaji mkubwa wa taka hizo za kielektroniki ni asilimia 20 tu ya tani hizo za kielektroniki ndio hurejelezwa katika mazingira rasmi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa taka za kieletroniki zinazo zalishwa na kutupwa…

5 August 2024, 5:05 pm

Utupaji taka ovyo unavyo haribu mazingira

Wananchi wanapaswa kuendelea kutunza mazingira kwa kutotupa taka ovyo, kupanda miti ili kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi. Na Mariam Kasawa.Utupaji wa taka ovyo unatajwa kuharibu mazingira kwa kiasi kikubwa kwa kusababisha taka nyingi kusambaa ovyo. Jiji ya Dodoma…

2 August 2024, 5:45 pm

Taka rejeshi zatajwa kuwanufaisha kiuchumi baadhi ya wananchi

Kumekuwa na marundo mbalimbali ya taka kama chupa za plastiki, makaratasi, chuma, chupa, taka ambazo zinaweza kurejeleshwa na kutumika katka matumizi mengine mbadala na zikaleta faida. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kutambua kuwa taka rejeshi zikitumika ipasavyo zinaweza kusaidia watu wengi…