Utamaduni
11 Disemba 2025, 4:23 um
Kwanini sekta ya kilimo haikupewa kipaumbele COP 30?
Kutopewa kipaumbele na Kupuuzwa kwa sekta ya kilimo katika Mkutano wa COP30 ni kinyume na miongozo ya kimataifa, jambo linaloweza kuathiri juhudi za Afrika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Na Mwandishi wetu.Msikilizaji, leo tunakuletea makala ambayo itaangazia Mkutano wa Kimataifa…
10 Disemba 2025, 4:35 um
Mkuu wa Kitengo cha Taka Jiji la Dodoma afanya ukaguzi wa usafi Makulu
Picha ni Dickson Kimaro Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa taka ngumu katika ziara ya ukaguzi wa usafi wa mazingira Kata ya Dodoma Makulu. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara hiyo imelenga kutathmini hali ya usafi…
5 Disemba 2025, 5:21 um
Madiwani Sengerema watakiwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi
Madiwani Halmashauri ya Sengerema wamekula kiapo cha kuwatukia wananchi wa Halmashauri hiyo baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oct.29 2025 Na,Emmanuel Twimanye Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza wamewatakiwa kwenda kufanya kazi kwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi.…
5 Disemba 2025, 4:51 um
Madiwani Buchosa waapa kumaliza kero, migogoro kwa wananchi
Madiwani wateule waapisha rasimi kuwatumikia wananchi baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Mwenzi Oktoba 29 2025 katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Na,Michael Mgozi Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza migogoro na kero…
3 Disemba 2025, 3:28 um
Waokota taka rejeshi kuboreshewa mazingira ya kazi
Licha ya uokotaji taka kuwa chanzo cha kipato kwao, mchango wao katika kuweka mazingira katika hali ya usafi umeendelea kutambuliwa na wadau wa mazingira. Picha na Google. Hatua nyingine ni kuhakikisha waokota taka wanapatiwa vitambulisho rasmi vitakavyowatambua na kutambua kazi…
25 Novemba 2025, 3:22 um
‘Waokota taka rejeshi wapewe heshima na jamii’
Ikumbukwe kwua Kazi ya ukusanyaji taka rejeshi imeelezwa kuwa ni sehemu muhimu ya uhifadhi wa mazingira na chanzo cha mapato kwa watu wengi, hivyo jamii inapaswa kuondoa dhana hasi na kutambua mchango wa wahusika wa kazi hiyo. Na ;Anwary Shaban.Jamii…
10 Novemba 2025, 12:46 um
Ukusanyaji wa Plastiki unavyozidi kuwa mkombozi kwa baadhi ya familia Dodoma
Kupitia shughuli ya ukusanyaji wa plastiki, kazi hii imekuwa chanzo cha ajira na kipato cha familia. Na Lilian Leopold.Kile ambacho wengi hukiona kama taka, kwa wengine ni njia ya kujipatia ridhiki, jijini Dodoma shughuli ya ukusanyaji wa plastiki imekuwa mkombozi…
26 Oktoba 2025, 8:42 um
Wasimamizi vituo vya kupigia kura watakiwa kuzingatia sheria
Zaidi ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,950 wanatarajia kwenda kusimamia vituo 650 vya kupigia kura katika jimbo la Sengerema wamekura kiapo cha uadilifu ili kutekeleza jukumu la uchaguzi mkuu jimbo la Sengerema. Na Mwandishi wetu…
24 Oktoba 2025, 8:47 um
Serikali yalipa fidia bilioni 2.9 Manyara
Kaya (28) za maeneo ya Msasani Maisaka A na Maisaka Kati Wilayani Babati, mkoa wa Manyara zimelipwa fidia ya bilioni 2.9 baada ya maeneo yao kuchukuliwa na serikali kwa matumizi ya huduma za kijamii. Na Mzidalfa Zaid Taarifa ya malipo…
22 Oktoba 2025, 6:51 um
SAU Kushughulikia changamoto za afya na barabara Buchosa
Kampeni kuelekea uchaguzi mkuu zinaendelea maeneo mbalimbali ya nchi ambapo wagombea watoa ahadi ili wachaguliwe october 29 2025 Na,Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa chama cha Sauti ya umma (SAU) Bi.Consolatha Cleophance Mtalyantula ameahidi kutatua changamoto za barabara…