Utamaduni
26 September 2025, 2:14 pm
Uzembe kisheria unavyoharibu mazingira Dodoma
Msikilizaji, leo tunazungumzia Kutotekelezwa kwa sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 sura 20 kufungu cha 114-116 kumesababisha kulundikana kwa taka za majumbani katika mitaa ya Chanagnyikeni, Kibaoni na St Gemma katika kata ya Miyuji Jijini Dodoma. Na Mariam…
14 August 2025, 5:40 pm
Yafahamu maua kwa ishara ya usafi na uwiano wa asili
Ethaning Flowers wanaamini kuwa utunzaji wa mazingira na maua ni mambo yanayoshirikiana kwa karibu. Na Lilian Leopold. Katika ulimwengu wa leo unaokabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uchafuzi wa mazingira, Ethaning Flowers wamejipambanua kama taasisi inayothamini uzuri na…
13 August 2025, 4:58 pm
Mpanda yajiandaa kutoa elimu kwa wakulima
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamil Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Tumedhamiria kufanya maonesho kabla yamsimu wa kilimo” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewapongeza wakulima na wajasiriamali walioenda kwenye maonyesho ya Nanenane jijini Mbeya kwa…
12 August 2025, 11:58 am
Wakulima watumieni vema maafisa kilimo
Ndugu Adili Mbilinyi akitoa neno kwa wakulima. Picha na Leah Kamala “Nitoe wito kwa wananchi watumieni vema maafisa kilimo” Na Leah Kamala Baadhi ya wakulima wa Kitongoji cha kasherami A, Kijiji cha muungano kata ya Ibindi halmashauri ya Nsimbo wamepatiwa…
6 August 2025, 18:54 pm
Mtamba aibuka kidedea kura za maoni CUF Mtwara Vijijini
Mh. Shamsia Mtamba ashinda kura za maoni CUF Mtwara Vijijini kwa kura 334 kati ya 374, akimuacha Abdull Mahupa nyuma kwa kura 39 Na Musa Mtepa Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Mh. Shamsia Azizi Mtamba, ameibuka mshindi katika…
5 August 2025, 12:18 pm
Wasimamizi wa uchaguzi kata watakiwa kufuata miongozo ya uchaguzi 2025
Ikiwa vyama vya siasa nchini vinaendelea na zoezi la kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Udiwani,Ubunge na Urais Tume ya uchaguzi nayo inaendelea na zoezi la kuratibu wasimamizi wa uchaguzi nganzi za Kata na Jimbo. Na;Emmanuel Twimanye Wasimamizi wa uchaguzi…
30 July 2025, 7:08 pm
RC Katavi: Katatueni kero za wananchi
Mkuu wa mkoa wa Katavi akitoa maelekezo kwa watumishi wa umma. Picha na Anna Mhina “Ninyi ni watumishi wa umma mnapaswa kutoa huduma bora kwa wananchi” Na Anna Mhina Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka maafisa tarafa…
4 July 2025, 1:50 pm
Vijana 80 kulinda shamba la miti Silayo Chato
Kutokana na matukio ya uharibifu wa misitu nyakati za kiangazi TFS imeamua kuongeza nguvu ya ulinzi wa shamba la miti Silayo Na Mrisho Sadick: Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) kupitia Shamba la Miti Silayo Wilayani Chato Mkoani Geita imetoa fursa…
18 June 2025, 2:43 pm
Bifu la Mpina na Bashe, Rais Samia apigilia msumari
Maombi hayo kuyaleta mbele ya Rais ni kujitafutia umaarufu na kudhibitisha mbunge hakulifanyia haki jimbo lake ” Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Meatu-Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia suluhu Hassani ameonyesha kukerwa na…
13 June 2025, 17:03
Serikali kuboresha sera na sheria kwa wenye ualbino
Serikali kuendelea kuboresha sera na sheria kuhusu watu wenye ualbino nchini. Na Kadislaus Ezekiel Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua mahususi kuboresha mifumo ya Kisera na sheria katika kuboresha huduma…