Radio Tadio

Utamaduni

2 July 2026, 17:16

Serikali yaendelea kusisitiza huduma za usafi wa mazingira

Jukwaa hilo la siku mbili linaendelea hadi Julai 3, 2026, likiwakutanisha viongozi wa Serikali, wataalamu, wadau wa maendeleo na sekta binafsi kujadili namna ya kuimarisha huduma za usafi wa mazingira zinazowajumuisha watu wote kwa ajili ya maendeleo endelevu nchini. Na…

30 June 2026, 17:04

Dodoma watakiwa kutunza mazingira

Shughuli hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kuhamasisha jamii kushiriki katika utunzaji wa mazingira na kuongeza uoto wa asili. Na Anwary Shaban. Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Mazingira katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Happiness Karugaba,…

23 June 2026, 16:33

Wananchi watakiwa kutunza mazingira kuepuka magonjwa

Iwapo hatua za usafi wa mazingira hazitachukuliwa kwa wakati, magonjwa hayo yanaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii, ikiwemo kulazwa hospitalini na hata kupoteza maisha, hivyo akasisitiza umuhimu wa kila mwananchi kushiriki katika kutunza usafi wa mazingira yanayomzunguka. Na Daniel Njau.…

19 June 2026, 18:26

Mradi wa maendeleo jumuishi ya kijani wazinduliwa Dodoma

Agridiversity Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali (NGO) la Tanzania linalojihusisha na kuendeleza kilimo endelevu kwa wakulima wadogo. Na Elizabeth Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua Mradi wa Maendeleo Jumuishi ya Kijani (Inclusive Green Transformation – IGRET),…

17 May 2026, 11:24

TFS yapanda miche ya miti KNFR

TFS kupitia Hifadhi ya Msitu wa KNFR imepanda miche ya miti takribani 10,000 katika vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo kupitia mradi wa FOLUR, huku wananchi wakieleza manufaa ya msitu katika uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa kilimo. Na: Isidory Mtunda Wakala…

15 May 2026, 4:52 pm

Miti 3,000 kupandwa Geita maadhimisho ya miaka 40 ya NEMC

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC) lilianzishwa mwaka 1986 ambapo maadhimisho ya miaka 40 yanatarajiwa kufanyika Mei 30, 2026. Na: Ester Mabula Kuelekea maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…

13 May 2026, 16:51

Taka ngumu ni mali tumia rejea weka mji safi

Mkutano huu ukalete tija kwa maafisa mazingira wote kwa kutoa Elimu na kuelimisha Jamii kwa ujumla juu ya maswala ya Taka. Na Anwary Shaban. Wananchi wametakiwa kutambua kuwa Taka ngumu ni mali, hivyo wanaweza kuzitumia na kuzirejeleza ili kuweka mji…