
Utamaduni

20 May 2025, 16:30 pm
Wanawake viongozi wafunguka kuhusu nafasi zao katika siasa
Na Mwanaidi Kopakopa, Mwanahamisi Chikambu Wanawake walioko katika nafasi za uongozi wamesema kuwa nafasi wanazopewa kama madiwani au wabunge zinawajengea uwezo na kujiamini kugombea nafasi nyingine za juu za uongozi wa kisiasa. Katika makala haya, wanawake hao wameeleza kwa kina…

12 May 2025, 7:57 pm
Heche asisitiza No reform No elections akiwa Sengerema
Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema kinaendelea na oparesheni yake ya No reform No eleections,ambapo tayari imeshaanza kanda ya victoria yenye mikoa ya Kagera,Geita na Mwanza. Na Emmanuel Twimanye Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) bara John…

10 May 2025, 1:29 pm
DC Geita aipongeza Storm FM kuhamasisha kampeni ya usafi
Wilaya ya Geita imeendelea na kampeni ya usafi wa mazingira yenye lengo la kuweka manispaa kuwa safi sambamba na kuepuka magonjwa yatokanayo na uchafu. Na: Kale Chongela: Mkuu wa wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba ameipongeza redio ya Storm FM…

5 May 2025, 1:55 pm
Sita wafikishwa ofisi ya mtaa kwa uchafu Mwatulole
Kampeni ya HYAGULAGA GEITA ikimaanisha SAFISHA/FAGIA GEITA imeendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ikiwa sambamba na uhamasishaji wa usafi wa maeneo ya Geita. Na: Kale Chongela – Geita Watu sita wamefikishwa katika ofisi ya polisi jamii katika mtaa wa Mwatulole kata…

30 April 2025, 6:49 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kuboresha taarifa zao daftari la mpiga kura
Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC) imetangaza siku saba za wananchi kuboresha taarifa za mpiga kura katika jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza. Na,Elisha Magege Afsa mwandikishaji jimbo la Sengerema Binuru Mussa Shekidele amewataka maafsa uandikishaji wanaotarajia kwenda kuanza kuboresha…

26 April 2025, 2:05 pm
Vinara wa uchafu kupewa bendera wilaya ya Geita
“Na tukikupa bendera hii maana yake wewe ndio unaturudisha nyuma kwenye suala la usafi na unatakiwa kubadilika” – Mkuu wa wilaya ya Geita Na: Kale Chongela: Serikali wilaya ya Geita imeadhimisha siku ya kumbukizi ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar…

18 April 2025, 4:49 pm
Dc Kaganda awataka wataalamu wa halmashauri,(WMA) na viongozi wa vijiji kumaliza…
Picha ya mkuu wa wilaya ya Babati Mkuu wa wilaya ya Babati, Emmanuela Mtatifikolo Kaganda amewataka wataalamu wa halmashauri kukutana na viongozi wa wildlife management areas (WMA) pamoja na viongozi wa vijiji husika ili kuweka mpango wa pamoja wa kumaliza migogoro inayojitokeza…

17 April 2025, 6:11 pm
Mgogoro wa mchanga wapelekea kukwama kwa ujenzi wa matundu ya vyoo Ihumwa
kwasasa wapo katika changamoto ya shule kulemewa hivyo majengo ya shule mpya nahitaji milioni 36 za ujenzi wa vyoo ndipo ianze kutumika Kwa kupunguza mjazano wa shule mama. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa matumizi mazuri ya rasilimali ni pamoja na rasilimali…

7 April 2025, 5:42 pm
Wananchi kata ya Chamwino washiriki zoezi la usafi usafi
Zoezi hilo ni enedelevu katika kata hiyo ambapo kila Jumamosi wananchi hujitokeza kwa ajili ya kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya kata hiyo. Na Lilian Leopord.Wananchi wa kata ya Chamwino jijini Dodoma wameshiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika…

1 April 2025, 6:25 pm
‘Wananchi wapatiwe elimu ya fursa za taka’
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), linawataka Watanzania kuanza kubadili mtazamo na kuziona taka kama fursa ya kuzirejeleza na kupata bidhaa mbalimbali na kujikomboa kiuchumi. Na Mariam Kasawa.Mamlaka za serikali za mitaa na halmashauri za wilaya…