Utamaduni
12 August 2026, 17:56
Utupaji taka holela wakithiri Miyuji
Kwa mujibu wa UN-HABITAT wanasema kwamba taka zinaweza kuleta madhara makubwa kwa afya ya umma, mazingira na hali ya hewa, lakini katika zama hizi sayansi, teknolojia na ubunifu wa hali ya juu vinaweza kuleta suluhu ya gharama nafuu katika changamoto…
11 August 2026, 17:20
Mama lishe Machinga walalamikiwa kumwaga maji taka mitaroni
Changamoto ya miundombinu ya soko la Machinga inachangia tatizo hilo, huku jitihada za kutatua kero hiyo bado zinaendelea. Na Grace Bugodi. Wafanyabiashara wa soko la Machinga jijini Dodoma wamelalamikia tabia ya baadhi ya mama lishe kumwaga maji taka katika mitaro…
11 August 2026, 17:05
Jamii yasisitizwa umuhimu wa kuendelea kulinda mazingira
Jukwaa hilo limekuwa fursa kwa wadau wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi kubadilishana uzoefu kutoka maeneo mbalimbali nchini, kujadili changamoto zinazowakabili wananchi na kuweka mikakati ya pamoja ya kulinda mazingira. Na Anwary Shaban. Mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuwa changamoto inayogusa…
10 August 2026, 16:43
Wananchi mwatano walalamikia kero ya taka
Wananchi hao wametakiwa kutambua kuwa elimu ni nyenzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya utunzaji wa mazingira, huku wakisisitizwa kujenga utamaduni wa kutupa taka katika maeneo maalumu na kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama. Na Ramla Kimu. Wananchi wa Mtaa…
8 August 2026, 6:46 pm
Tantrade yawahimiza usajili wa bidhaa nchini
Wakulima, wazalishaji na wafanyabiashara nchini wametakiwa kujisajili na kupata nembo ya TANTRADE ili kuongeza utambulisho wa bidhaa zao na kuzifanya zitambulike zaidi katika masoko ya kimataifa. Na Gasper Sambweti Afisa mwandamizi wa biashara wa TANTRADE, Bw. Thomas Peter Mallya amesema…
3 August 2026, 17:26
Asasi za kiraia Mpwapwa zachukizwa kasi uharibifu wa mazingira
“Fikira mpya, uendelevu wa mashirika yasiyo ya kiserikali, ubunifu, ubia na upatikanaji wa rasilimali fedha kupitia vyanzo vya ndani. Na Stephen Noel. Serikali ya Wilaya ya Mpwapwa imeahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa mashirika yasiyo ya kiserikali ili kuchochea utekelezaji wa…
20 July 2026, 18:00
Mabadiliko ya tabianchi yanaathirije upatikanaji wa chakula?
Wanasayansi wanabashiri kwamba ongezeko la joto na mabadiliko ya mienendo ya mvua huenda yakaathiri uzalishaji hasa katika maeneo yenye matatizo. Na Mariam Matundu.Uhakika wa upatikanaji chakula huathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi kwani ukame, mabadiliko ya vizio vya joto,…
20 July 2026, 17:34
Wananchi Ilangali B walia uharibifu wa mto Kizogo
Licha ya wadau wa mazingira kufika eneo la uchimbaji kufanya tathmini na kutoa maelekezo lakini kumekuwa hakuna utekelezaji wowote. Na Anwary Shaban. Wakazi wa kitongoji cha Ilangali “B” Kata ya Manda Wilaya ya Chamwino wameendelea kulia na uharibifu wa chanzo…
15 July 2026, 1:52 pm
Aliyevamia mkondo wa maji kikaangoni Geita
Hatua hiyo inaweza kusababisha kuziba kwa njia ya maji na kuongeza hatari ya mafuriko wakati wa mvua, jambo ambalo linaweza kuathiri makazi ya wananchi wanaozunguka eneo hilo. Na: Kale Chongela Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi, Malezi na Mazingira chama cha…
10 July 2026, 18:16
Wananchi Kibaoni walalamika kuzorota kwa huduma ya uzoaji taka
Jiji ya Dodoma inakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji ni tani 114 na Kata za mjini huzalisha ni tani 236. Na Anwary Shaban. Wakazi wa mtaa wa Kibaoni kata ya…