Radio Tadio

Utamaduni

19 July 2024, 5:27 pm

Jamii yakosa elimu ya kutosha juu ya utanganishaji wa taka

Ili kupata matokeo mazuri ni lazima kuweka misingi ya utekelezaji ikiwa ni pamoja ushirikishwaji wa umma, utekelezaji wa sheria na makubaliano kwa wadau mbalimbali wanaojihusisha na sekta ama teknolojia ya urejelezaji taka. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa Mazingira safi ni kitovu…

18 July 2024, 3:19 pm

Wasomi watakiwa kuwa mfano bora utunzaji wa mazingira

Vijana ni nguvu kazi ya taifa hivyo wanatakiwa kutambua wajibu wao katika kutunza na kuhifadhi mazingira pia kuwa mabalozi wazuri wa mazingira. Na Mariam KasawaVijana wa vyuo vikuu wametakiwa kutunza mazingira kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo upandaji miti na uanzishaji…

June 7, 2024, 9:11 am

Wawili wachomwa moto kwa tuhuma za wizi Shinyanga

Vijana wawili waliofahamika kwa majina ya Bahati Dotto na Emma wakazi wa manispaa ya Shinyanga wamepigwa na wananchi wenye hasira kali na kisha kuchomwa moto hadi kupoteza maisha wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya wizi. Tukio hilo limeteokea jana mtaa wa…

3 June 2024, 7:23 pm

Maonesho ya siku ya mazingira yazinduliwa Jijini Dodoma

Urejeshaji wa ardhi iliyo haribiwa na ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kutumia Bunifu na Teknolojia mbalimbali za utunzaji wa mazingira ili kunusuru mazingira. Maonesho ya siku ya mazingira ambayo kitaifa yanafanyika hapa Jijini Dodoma…

21 May 2024, 1:30 pm

Uhai wa viumbe hai unavyobebwa na uchavushaji

Na Mariam Kasawa.Kwa mujibu wa watafiti wanasema kuwa asilimia 80 ya uchavushaji unaonaofanywa na nyuki ni muhimu kwa viumbe hai kwani pasipo uchavushaji hakuna maisha. Mustakabali wa binadamu na mifumo ya ekolojia hutegemea uchavushaji takriban asilimia 80 ya spishi za…

30 April 2024, 6:45 pm

Kaulimbiu ya TEF yamkosha Naibu waziri mkuu

Hapo jana April 29 Jukwaa la wahaariri TEF lilizindua mkutano wa 13 hapa jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi katika mkutano huo alikuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Dotto Biteko . Na Mariam Kasawa.Kaulimbiu ya mkutano wa…

25 April 2024, 6:38 pm

Gesi ya ukaa hatari kwa mazingira

Kuboresha na kutunza mazingira ardhini na baharini ni mojawapo ya mikakati mikuu ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa uzalishaji wa gesi ya ukaa usipopunguzwa kwa asilimia 7.6 kila mwaka dunia haitaweza kufikia nyuzijoto 1.5 za kiwango…

16 April 2024, 10:21 am

Ushiriki wa mwanamke katika kulinda, kutunza mazingira

Wakati mkutano wa 23 wa mabadiliko ya tabianchi wa Umoja wa Mataifa, COP 23, ukiingia wiki ya mwisho ya majadiliano mjini Bonn, Ujerumani, Rais wa mkutano huo alitangaza mpango wa utekelezaji wa kijinsia kwa kutambua nafasi ya wanawake katika suala…