Radio Tadio

Utamaduni

27 March 2024, 5:38 pm

Elimu ya utunzaji Mazingira yawanufaisha wanafunzi

Wadau wa mazingira wanasema vijana wanapaswa kutambua kwamba jukumu la utunzaji wa mazingira ni la kila mmoja katika jamii hivyo ni vema washiriki katika shughuli za utunzaji wa mazingira. Na Mariam Kasawa. Elimu ya utunzaji mazingira na kilimo inatajwa kuwanufaisha…

26 March 2024, 8:11 pm

Wasomi watakiwa kuwa mfano upandaji wa miti

Hapa nchini kampeni nyingi za upandaji miti zimekuwa zikianzishwa na kutekezwa na wadau mbalimbali pamoja na wadau wa mazingira ili kuunga mkono juhudu za raisi wa Tanzania mama Samia Suluhu za kutaka mazingira Bora kwa wananchi. Na Mariam Kasawa.Wasomi na…

15 March 2024, 7:40 pm

Bodaboda wasabisha kelele walalamikiwa Nzuguni B

Pikipiki zimekuwa zikichangia uchafuzi wa mazingira kutokana na kelele. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Nzunguni B kata ya Nzunguni Jijini Dodoma wamelalamikia waendesha pikipiki wenye tabia ya kutoboa exsoze za pikipiki na kusababisha vyombo hivyo kutoa sauti zinazo leta…

15 March 2024, 6:40 pm

Soko kuu Majengo lafanikiwa ukusanyaji taka.

Wananchi wanahimizwa kuendelea kuweka mazingira katika hali ya usafi huku wakitakiwa kufahamu kuwa kuweka takataka chini ni kosa kisheria. Na Mariam Kasawa.Soko Kuu la majengo jijini Dodoma limefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika zoezi la ukusanyaji yaka hali inayopelekea mazingira kuwa…

5 March 2024, 5:00 pm

Ummy: Asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo

Waziri Ummy amezielekeza mamlaka kuhakikisha zinasimamia vyema matumizi ya vyoo kwa wasafiri wawapo safarini kwa kuhakikisha mabasi yanasimama kwenye maeneo rasmi ikiwemo stendi za mabasi . Na Mariam Kasawa. Takwimu zinaonesha kuwa asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo kabisa…