Radio Tadio

Utamaduni

17 May 2026, 11:24

TFS yapanda miche ya miti KNFR

TFS kupitia Hifadhi ya Msitu wa KNFR imepanda miche ya miti takribani 10,000 katika vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo kupitia mradi wa FOLUR, huku wananchi wakieleza manufaa ya msitu katika uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa kilimo. Na: Isidory Mtunda Wakala…

15 May 2026, 4:52 pm

Miti 3,000 kupandwa Geita maadhimisho ya miaka 40 ya NEMC

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC) lilianzishwa mwaka 1986 ambapo maadhimisho ya miaka 40 yanatarajiwa kufanyika Mei 30, 2026. Na: Ester Mabula Kuelekea maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…

13 May 2026, 16:51

Taka ngumu ni mali tumia rejea weka mji safi

Mkutano huu ukalete tija kwa maafisa mazingira wote kwa kutoa Elimu na kuelimisha Jamii kwa ujumla juu ya maswala ya Taka. Na Anwary Shaban. Wananchi wametakiwa kutambua kuwa Taka ngumu ni mali, hivyo wanaweza kuzitumia na kuzirejeleza ili kuweka mji…

1 May 2026, 15:39

TASA yatambulisha mradi wa mazingira, usawa wa kijinsia Mtwara

TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…

April 29, 2026, 6:28 pm

Penati zaamua ushindi kwa Polisi dhidi ya Bodaboda

Mashindano hayo yamekuwa na lengo la kuimarisha upendo, amani na mshikamano miongoni mwa jamii, akisisitiza kuwa michezo ina nafasi kubwa katika kuunganisha watu na kuimarisha afya. Na William Mpanju- Biharamulo, KAGERA Timu ya mpira wa miguu ya Jeshi la Polisi…

24 April 2026, 2:02 pm

DC Kaganda aamuru waliojenga eneo la mwekezaji kuhama

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatikolo Kaganda amewataka Wananchi wa Vijiji vya Kiru, Masware na Marangi waliojenga makazi yao ndani ya eneo la muwekezaji kubomoa nyumba zao na kuacha eneo hilo likiwa wazi kwani eneo hilo sio lao…