Utamaduni
9 Aprili 2026, 14:02
Tunawezaje kukomesha ukatili wa kijinsia unao tokana na athari za mabadiliko ya…
Na Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa viwango vya vurugu dhidi ya wanawake na wasichana. Ripoti hiyo inaonesha kuwa hali mbaya ya tabianchi, kuhama makazi, ukosefu…
3 Aprili 2026, 09:37
Kisa mafuta, madereva wapandisha nauli Iringa
Nauli imepanda jambo lililopelekea baadhi ya abiria kuiomba mamlaka husika kutangaza bei halisi. Na Telesia Chalamila Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza ongezeko la bei ya mafuta, madereva wa vyombo vya usafiri wa…
30 Machi 2026, 18:21
Panda shuka za Mariam kuitumikia Chuno
Je, viongozi huzaliwa au hutengenezwa na mazingira? Makala hii inachunguza mjadala huo kupitia Mariam Chibwalo, mwanamke aliyethubutu kusimama pekee yake dhidi ya wanaume tisa katika kinyang’anyiro cha udiwani. Akiwa amesukumwa na changamoto na hamasa ya kuwa sauti ya wananchi wa…
23 Machi 2026, 18:48
Unazuiaje uharibifu wa mazingira unaoathiri vyanzo vya maji?
Na Mariam Kasawa. Kuzuia uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji kunahitaji ushirikiano wa jamii, serikali, na taasisi kupanda miti, kulinda misitu, na kudhibiti taka. Hatua muhimu ni pamoja na sheria kali za mazingira (Sura 191), kutoa elimu, na kusimamia mipango kabambe…
23 Machi 2026, 17:27
Machimbo yageuka tishio kwa wananchi Zuzu
Ameeleza kuwa suala hilo tayari liliwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Jiji ambapo uchimbaji ulisitishwa kwa muda, lakini baadaye ukaendelea tena. Na Mariam Kasawa. Diwani wa Kata ya Zuzu, Jenesta Project Malingo, amesema anaendelea kufuatilia malalamiko ya wananchi wa Mtaa wa Sokoine…
23 Machi 2026, 2:56 um
JUMAZA yahimiza malezi ya dini kwa vijana
Waumini wa dini ya Kiislamu wamehimizwa kuwalea vijana katika misingi ya maadili mema ili waweze kuijua vyema dini ya Allah. Wito huo umetolewa na Sheikh Farid Hadi Ahmed wakati wa mahafali ya Eid yaliyofanyika Chake Chake, Pemba. Na Is-haka Mohammed…
19 Machi 2026, 16:35
Washikiri zoezi la upandaji miti Shule ya Mzingi Mchemwa
Umuhimu wa kupanda miti na kutunza mazingira ya shule una faida nyingi kama vile kupata miti ya kivuli, kuchangia katika kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi na kukuza elimu ya uhifadhi wa mazingira kwa wanafunzi na jamii. Na Mariam Kasawa.…
24 Febuari 2026, 9:33 um
TFS yahimiza upandaji miti, 700 wafikiwa Chato
Hadi sasa jumla ya watu 700 wamefikiwa na huduma ya kupewa miche bure na TFS katika wilaya ya Chato mkoani Geita. Na: Ester Mabula Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency – TFS) umeendelea kuhamasisha jamii kupanda…
19 Febuari 2026, 16:24
Wakazi walia na uharibifu wa mazingira
Viongozi wa eneo hilo wamelalamikiwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika wa uharibifu wa mazingira hayo. Na Steven Noel. WAKAZI WA Kitongoji cha Mcheula Kijiji cha Idilo kata ya Mazae wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wamelalamikia matokeo ya uharibifu wa mazingira katika…
16 Febuari 2026, 23:46
Je unajua yalipo mafanikio yako?
“Hapo mwanzo tulikuwa tumepanga lakini baada ya migogoro yetu kuisha tumejenga nyumba na tumenunua shamba.“ Na Cosmas Clement Uwezo wa wanandoa kushughulikia migogoro baina yao imetajwa kuwa chachu ya kuwawezesha kupiga hatua za maendeleo katika familia zao. Hayo yamesemwa na…