Utamaduni
10 July 2026, 18:16
Wananchi Kibaoni walalamika kuzorota kwa huduma ya uzoaji taka
Jiji ya Dodoma inakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji ni tani 114 na Kata za mjini huzalisha ni tani 236. Na Anwary Shaban. Wakazi wa mtaa wa Kibaoni kata ya…
2 July 2026, 17:16
Serikali yaendelea kusisitiza huduma za usafi wa mazingira
Jukwaa hilo la siku mbili linaendelea hadi Julai 3, 2026, likiwakutanisha viongozi wa Serikali, wataalamu, wadau wa maendeleo na sekta binafsi kujadili namna ya kuimarisha huduma za usafi wa mazingira zinazowajumuisha watu wote kwa ajili ya maendeleo endelevu nchini. Na…
1 July 2026, 16:43
Mlima Mautia umebeba historia ya kipekee ya jiolojia nchini
Tanzania ina fursa ya kuyatumia kama kivutio cha utalii wa jiolojia na kuongeza mchango wa sekta ya utalii. Na Anwary Shaban. Mlima wa Mautia uliopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma umetajwa kuwa moja ya maeneo yenye historia ya kipekee ya kijiolojia…
30 June 2026, 17:04
Dodoma watakiwa kutunza mazingira
Shughuli hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kuhamasisha jamii kushiriki katika utunzaji wa mazingira na kuongeza uoto wa asili. Na Anwary Shaban. Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Mazingira katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Happiness Karugaba,…
23 June 2026, 16:33
Wananchi watakiwa kutunza mazingira kuepuka magonjwa
Iwapo hatua za usafi wa mazingira hazitachukuliwa kwa wakati, magonjwa hayo yanaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii, ikiwemo kulazwa hospitalini na hata kupoteza maisha, hivyo akasisitiza umuhimu wa kila mwananchi kushiriki katika kutunza usafi wa mazingira yanayomzunguka. Na Daniel Njau.…
19 June 2026, 18:26
Mradi wa maendeleo jumuishi ya kijani wazinduliwa Dodoma
Agridiversity Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali (NGO) la Tanzania linalojihusisha na kuendeleza kilimo endelevu kwa wakulima wadogo. Na Elizabeth Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua Mradi wa Maendeleo Jumuishi ya Kijani (Inclusive Green Transformation – IGRET),…
17 May 2026, 11:24
TFS yapanda miche ya miti KNFR
TFS kupitia Hifadhi ya Msitu wa KNFR imepanda miche ya miti takribani 10,000 katika vijiji vinavyozunguka hifadhi hiyo kupitia mradi wa FOLUR, huku wananchi wakieleza manufaa ya msitu katika uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa kilimo. Na: Isidory Mtunda Wakala…
15 May 2026, 4:52 pm
Miti 3,000 kupandwa Geita maadhimisho ya miaka 40 ya NEMC
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Tanzania (NEMC) lilianzishwa mwaka 1986 ambapo maadhimisho ya miaka 40 yanatarajiwa kufanyika Mei 30, 2026. Na: Ester Mabula Kuelekea maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi…
14 May 2026, 5:22 pm
Maafisa mipango miji fuatilieni eneo la ujenzi kabla ya kutoa vibali-RC Se…
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ametoa maagizo kwa wataalam wa mipango miji mkoani Manyara kuhakikisha wanafatilia eneo la ujenzi kwa wananchi kabla hawajatoa kibali cha ujenzi. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo katika kikao cha Baraza la madiwani…
13 May 2026, 16:51
Taka ngumu ni mali tumia rejea weka mji safi
Mkutano huu ukalete tija kwa maafisa mazingira wote kwa kutoa Elimu na kuelimisha Jamii kwa ujumla juu ya maswala ya Taka. Na Anwary Shaban. Wananchi wametakiwa kutambua kuwa Taka ngumu ni mali, hivyo wanaweza kuzitumia na kuzirejeleza ili kuweka mji…