Radio Tadio

Afya

13 Machi 2026, 14:01

Kituo cha zana za kilimo chazinduliwa kusaidia wakulima Uvinza

Zana za kilimo ni vifaa vinavyotumika kurahisisha shughuli za kilimo kama kulima, kupanda, kupalilia na kuvuna na zina umuhimu mkubwa kwa wananchi hasa wanaotegemea kilimo kama chanzo cha maisha. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kijiji cha Nyanganga, Kata ya Kazuramimba,…

12 Machi 2026, 15:02

KITIKI waongeza uzalishaji wa mazao Kasulu

Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kupunguza kiwango cha upotevu wa mazao wakati na baada ya kuvuna kutoka asilimia 11% mwaka 2023 hadi kufikia asilimia 8%, ya sasa. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa Kata ya Nyumbigwa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani…

12 Machi 2026, 12:14 um

Wafanyabiashara Mafinga walalamikia milango kufungwa

“Kitendo cha kuwekwa kwa makufuli katika milango ya biashara zetu hatukubaliani nacho” Na Fredrick siwale Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mafinga katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamelalamikia hatua ya baadhi ya maafisa wa halmashauri hiyo kufunga milango…

11 Machi 2026, 10:53 um

Maarifa ya biashara yaongeza mafanikio

Wajasiriamali wa Ifakara wamehimizwa kupata elimu ya biashara, kuweka kumbukumbu sahihi za mapato na matumizi pamoja na kujenga utamaduni wa kuweka akiba ili kuimarisha biashara zao na kuongeza kipato cha familia. Na: Isidory Mtunda Wajasiriamali katika mji wa Ifakara wilayani…

3 Machi 2026, 17:24

Wakulima watakiwa kuwekeza kilimo cha tangawizi

Kilimo cha tangawizi ni fursa nzuri kwa wakulima kutokana na soko lake kubwa na faida zake kiafya kwa kufuata kanuni bora za kilimo, mkulima anaweza kupata mavuno mengi na kuongeza kipato chake. Na Michael Mpunije Wakulima Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma…

2 Machi 2026, 09:39

Uvinza yadhamiria kuwa kinara uzalishaji zao la korosho

Zao la korosho ni miongoni mwa mazao muhimu ya biashara na korosho imekuwa nguzo muhimu katika kuinua uchumi wa taifa na kuboresha maisha ya wananchi, hasa wakulima wa vijijini. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imedhamiria kuwakilisha vema Mkoa wa…