Afya
13 Machi 2026, 14:01
Kituo cha zana za kilimo chazinduliwa kusaidia wakulima Uvinza
Zana za kilimo ni vifaa vinavyotumika kurahisisha shughuli za kilimo kama kulima, kupanda, kupalilia na kuvuna na zina umuhimu mkubwa kwa wananchi hasa wanaotegemea kilimo kama chanzo cha maisha. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kijiji cha Nyanganga, Kata ya Kazuramimba,…
12 Machi 2026, 15:02
KITIKI waongeza uzalishaji wa mazao Kasulu
Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kupunguza kiwango cha upotevu wa mazao wakati na baada ya kuvuna kutoka asilimia 11% mwaka 2023 hadi kufikia asilimia 8%, ya sasa. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa Kata ya Nyumbigwa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani…
12 Machi 2026, 12:14 um
Wafanyabiashara Mafinga walalamikia milango kufungwa
“Kitendo cha kuwekwa kwa makufuli katika milango ya biashara zetu hatukubaliani nacho” Na Fredrick siwale Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mafinga katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamelalamikia hatua ya baadhi ya maafisa wa halmashauri hiyo kufunga milango…
11 Machi 2026, 10:53 um
Maarifa ya biashara yaongeza mafanikio
Wajasiriamali wa Ifakara wamehimizwa kupata elimu ya biashara, kuweka kumbukumbu sahihi za mapato na matumizi pamoja na kujenga utamaduni wa kuweka akiba ili kuimarisha biashara zao na kuongeza kipato cha familia. Na: Isidory Mtunda Wajasiriamali katika mji wa Ifakara wilayani…
9 Machi 2026, 23:19
King James Pharmacy wakabidhi vifaa vya thanani ya mil 103 rufaa Mbeya
Katika kuadhimisha sikuku ya mama Duniani taasisi ya King James Pharmacy wameamua kutoa msaada wa vifaa vya matibabu katika hospital ya Rufaa kanda ya Mbeya Na Ezra Mwilwa King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa…
9 Machi 2026, 21:00
Wananchi Kasulu wanufaika na miche 120,000 ya kahawa bure
Wakazi wa Kijiji cha Bugaga na maeneo ya jirani katika Wilaya ya Kasulu wamejitokeza kwa wingi kupokea miche 120,000 ya kahawa aina ya Arabica iliyotolewa bure na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu katika awamu ya pili ya ugawaji. Hatua hiyo…
5 Machi 2026, 09:31
Mradi wa KITIKI ulivyosaidia wakulima kuongeza uzalishaji Kibondo
Wakulima wameiomba serikali na wadau wengine kuendelea kutoa elimu ya upimaji wa udongo ili kutambua aina za viatilifu vya kutumia kulingana na aina ya udongo Na Mwandishi wetu Baadhi ya wakulima katika kijiji cha Mukarazi kata ya Mabamba Wilayani Kibondo…
3 Machi 2026, 17:24
Wakulima watakiwa kuwekeza kilimo cha tangawizi
Kilimo cha tangawizi ni fursa nzuri kwa wakulima kutokana na soko lake kubwa na faida zake kiafya kwa kufuata kanuni bora za kilimo, mkulima anaweza kupata mavuno mengi na kuongeza kipato chake. Na Michael Mpunije Wakulima Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma…
03/03/2026, 11:16
Baraza la Madiwani Masasi lafanya mapitio ya utekelezaji Miradi
Ni kikao kazi ambacho Madiwani ambao ni wawakilisha wa wananchi katika maeneo mbalimbali wakijadiliana na kuidhinisha mipango ya kimaendeleo kwa pamoja Na Lilian Martin. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi limejadili kwa pamoja na kuidhinisha rasimu ya mpango na…
2 Machi 2026, 09:39
Uvinza yadhamiria kuwa kinara uzalishaji zao la korosho
Zao la korosho ni miongoni mwa mazao muhimu ya biashara na korosho imekuwa nguzo muhimu katika kuinua uchumi wa taifa na kuboresha maisha ya wananchi, hasa wakulima wa vijijini. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imedhamiria kuwakilisha vema Mkoa wa…