Ulinzi
23 Septemba 2022, 5:41 mu
Jamii imetakiwa kusalimisha silaha haramu
RUNGWE-MBEYA NA,JUDITH MWAKIBIBI Kutokana na kampeni inayoendelea ya usalimishaji wa silaha kitaifa wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kusalimisha silaha haramu zinazomilikiwa kinyume na utaratibu. Akizungumza katika studio za radio chai FM mrakibu wa jeshi la polisi Wilayanl ya Rungwe…
19 Septemba 2022, 4:34 um
Kigogo FOA Motors mbaroni akidaiwa kutapeli Sh Mil 150
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa, linamshikilia Michael Mbata (34), mfanyabiashara mkazi wa Dar es Salaam kwa tuhuma ya kujipatia Sh Milioni 150 kwa njia ya udanganyifu. Akizungumza na wanahabari leo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi,…
19 Septemba 2022, 4:23 um
Makalla awataka Vijana JKT kupambana na uhalifu
Mkuu wa Mkoa wa Da es Salaam, Amos Makalla amefunga Mafunzo ya Vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa JKT, yaliyojulikana kama operesheni Jenerali Venance Mabeyo , huku akiwasihi vijana hao kuwa raia wema na kutojihusisha na vitendo vya uhalifu. RC…
11 Septemba 2022, 3:38 um
Watuhumiwa 38 Washikiliwa Na Jeshi La Polisi Kwa Tuhuma Za Makosa Mbali Mbali
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia dereva wa lori aliyejulikana kwa jina la Allen Wilbard Kasamu (49) mkazi wa Suye Jijini Arusha akiwa anasafirisha madawa ya kulevya aina ya mirungi yenye uzito kilo 390.75. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo leo…
5 Julai 2021, 11:32 mu
Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko ili kupunguza magonjwa yasiyo na…
Na; Shani Nicolous. Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko vya kujenga mwili ili kupunguza magonjwa yasiyokuwa na ulazima pamoja na madhara mengine ambayo yanatokana na uzito wakupindukia. Akizungmza na Dodoma FM Dr. Mathew kutoka Poly Clinic Jijini Dodoma amesema kuwa kumekuwa…