Radio Tadio

Ujenzi

2 December 2025, 3:50 pm

Halmashauri ya Manispaa ya Geita yapata viongozi wapya

Leo Disemba 02, 2025 kikao cha kwanza cha baraza la madiwani kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Dkt. Samia Suluhu Hassan eneo la Bombambili manispaa ya Geita. Na: Ester Mabula Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita limeketi…

27 November 2025, 14:52

Watumishi wa umma wapewa elimu ya majanga ya moto Kasulu

Watumishi wa umma Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto Na Hagai Ruyagila Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, limetoa mafunzo kwa watumishi wa umma wa Halmashauri ya Mji Kasulu…

17 November 2025, 17:12

Wahitimu VETA Kibondo wahimizwa kujikwamua kimaisha

Wahitimu katika chuo cha ufundi stadi veta Wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamehimizwa kutumia mafunzo waliyoyapata kwa ajili ya manufaa yao ili waweze kujikwamua katika maisha yao ya kila siku hali itakayopunguza wimbi la vijana wasio na ajira hapa nchini. Na…

28 October 2025, 11:13 am

Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho

Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…

8 October 2025, 11:39

MCT yanoa wanahabari kukabiliana na habari potofu Kigoma

Baraza la habari Tanzania (MCT) limetoa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari Mkoani Kigoma yenye lengo la kupambana na changamoto za habari na taarifa potofu, na mwongozo wa sheria kuhusu upatikanaji wa taarifa na ushiriki wa taasisi za Serikali katila…

6 October 2025, 7:41 pm

Nondo za Reuben Sagayika akiomba kura za CCM Msufini

“Ninaimani kata ya Kalangalala itakwenda kubadilika kimaendeleo iwapo mtanipa kura za NDIO ili niweze kuwatumikia kwa moyo wangu” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Kalangalala kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika leo…

6 October 2025, 1:58 pm

Vijana Geita waeleza kwanini Oktoba 29 watatiki

Vijana hao wameeleza kuwa hawatashiriki katika vurugu, maandamano yasiyo ya lazima au propaganda za kisiasa. Na Mrisho Sadick: Vijana kutoka makundi mbalimbali ikiwemo vyuo na shule za sekondari katika Manispaa ya Geita Mkoani Geita wamesema wako tayari kushiriki kikamilifu katika…

12 September 2025, 4:34 am

TAKUKURU Geita yawafunda wasimamizi wa uchaguzi

Tanzania inajiandaa na Uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 ambapo rai imetolewa kwa wasimamizi wa uchaguzi kuepuka vitendo vya Rushwa. Na: Edga Rwenduru Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewaonya wananchi na wasimamizi wa uchaguzi watakaobainika…

4 September 2025, 10:19 am

Majimbo 7 kati ya 9 Geita hayana wagombea upinzani

Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimezindua rasmi kampeni za kunadi ilani ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu. Na: Edga Rwenduru Uzinduzi wa kampeni hizo umefanyika Septemba 02, mwaka huu Katika kata ya…

12 August 2025, 1:38 pm

Uchafu wa mighahawa kero kwa walaji Katavi

Moja ya mgawaha uliopo mtaa wa Mpanda hotal. Picha na Roda Elias ” Unakula chakula unakaa kidogo unaenda kununua flajiri” Na Roda Elias Baadhi ya walaji wa vyakula katika migahawa inayopatikana kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi…