
Ujenzi

27 March 2025, 9:58 pm
Wanawake Hanang’ wapata elimu ya uandaaji lishe
Baadhi ya wanawake wilayani Hanang mkoani Manyara wamefundishwa namna ya kuandaa lishe bora ili kudhibiti tatizo la udumavu kwa watoto. Na Mzidalfa Zaid Katika kuhakikisha watoto wanakuwa na lishe bora, jamii wilayani Hanang mkoani Manyara imeshauriwa kuhifadhi vyema mazao,kwa kuhakikisha…

March 27, 2025, 9:54 am
Mbunge Kishimba ashauri mazao mengine kuongezwa KACU
Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba akiwa anazungumza katika mkutano mkuu wa 29 wa KACU. (Picha na Sebastian Mnakaya) ”Wakulima wengi walioko kwenye chama kikuu cha ushirika wilaya ya Kahama (KACU) ni wa pamba na tumbaku, je, wanaolima…

25 March 2025, 10:35 pm
Bunda: Aliwa na mamba akiwa kwenye uvuvi Ziwa Victoria
Afariki dunia kwa kuliwa na mamba baada ya kumkamata akiwa anaendelea na uvuvi wa samaki kando ya ziwa Victoria.. sehemu ndogo tu ya mwili imepatikana familia wazika Na Thomas Masalu Mashiku Mihayo (49) mkazi wa mtaa wa Guta Mjini amefariki…

15 March 2025, 1:29 pm
Waipongeza Sengerema FM kwa kutoa elimu ya ugonjwa marburg
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Afya nchini Mh. Jenista Mhagama imetangaza kufanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa marburg, ambao ulitangazwa kuibuka nchini mwezi Januari 2025 katika halmashauri ya wilaya ya Bihalamulo mkoani Kagera. Na,Elisha Magege Kufuatia Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

27 February 2025, 11:28 am
CHAWATIATA: Muganga wa tiba asili tukikukuta na mgonjwa wa Marburg tunakukamata
Tangu kuripotowa kwa homa ya marburg wilayani Biharamulo mkoani Kagera kumekuwepo na tabia za baadhi ya familia kukimbilia kwa waganga wa tiba za asili, jambo ambalo linatajwa kuwa ni hatari zaidi na linaweza pelekea kuenea zaidi kwa ugonjwa huo. Na,Elisha…

19 February 2025, 1:04 pm
Sengerema yaendelea kutoa elimu ya kujikinga na Marburg
Halmashauri ya Sengerema inapatikana katika mkoa wa Mwanza ambapo ni lango kuu la watu kutoka mikoa ya kagera, kigoma, Geita na nchi jilani kuingia katika jiji la Mwanza,hivyo inatajwa kuwa sehemu iliyo kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na ugonjwa marburg.…

27 November 2024, 12:25 pm
Zaidi ya wananchi 1,300,000 kupiga kura mkoani Geita
Leo Novemba 27, 2024 wananchi Tanzania bara wanashiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa kwaajili ya kuchagua viongozi wa mitaa, vitongoji na vijiji ambao watawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Na: Ester Mabula – Geita Zaidi ya wananchi milioni 1…

1 October 2024, 07:30
Jiji la Mbeya la tangaza urejeo wa mikopo ya asilimia 10
Wafanya biashara wadogo maarufu kama Machinga wametakiwa kutumia fursa za mikopo ya halmashauri na ile ya kimachinga inayo tolewa na serikali.Wito huo umetolewa na Afisa Maendeleo Jiji la Mbeya Deus Mhoja katika mkutano na wamachinga kilichofanyika ukumbi wa shule ya…

26 January 2024, 10:01
Wananchi Kasulu wakerwa kuchangishwa 3,500 ujenzi wa daraja
Wananchi wa kata ya Nyansha wilaya ya Kasulu wameilalamikia serikali kwa kuwachangisha fedha kiasi cha shilingi 3,500 kila kaya ili kununua mawe ya kujengea daraja ikiwa huu ni mwaka wa tatu na hakuna kinachoendelea licha ya kila kaya kutoa kiasi…

26 January 2024, 01:53
Kyela: Isaki waoga noti za Babylon Mwakyambile
Wanachama wa chama cha Mapinduzi hapa wilayani kyela wametakiwa kuungana ili kukamirisha ujenzi wa jingo la ofisi za kata Isaki hapa wilayani Kyela ili kuondoa kadhia ya kuwafuata viongozi wa chama nyumbani kwao. Na James Mwakyembe Mdau maendeleo na mwanachama…