Radio Tadio

Ujasiriamali

25 March 2023, 12:32 am

Wafanyabiashara Mpanda hotel walalamikia ushuru.

MPANDAWafanya biashara wa soko la Mpanda hotel manisapaa ya Mpanda Mkoani Katavi wanaouza matunda ya msimu nje ya soko, wamelalamikia ushuru wanaotozwa na kuomba kupewa ruhusa ya kuuza biadhaa nyingine ambazo sio za msimu nje ya soko. Wameyasema hayo katika…

6 October 2022, 1:34 pm

Vikundi ni Njia ya Maendeleo kwa Jamii

NA: Mary Julius na Thuwaiba Mohd : Mwakilishi wa jimbo la Paje Soud Nahodha Hassan wamewataka wakinamama kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali ili kuweza kusaidiawa katika kujiletea maendeleo na kujikwamua kiuchumi. Akizungumaza mara baada ya kuzindua na kukabidhi  kisima cha…