Radio Tadio

Sanaa

13 August 2023, 6:44 pm

Mfuko wa sanaa kuwanufaisha wasanii Iringa

Na Hafidh Ally Mfuko wa utamaduni na sanaa Tanzania unatarajia kutoa Mikopo Mipya zaidi ya shilingi Bilion 20 kwa Wasanii hapa nchini katika mwaka huu wa fedha 2023/2024. Hayo yamezungumzwa na Bi. Nyakaho Mturi Mahemba Afisa Mtendaji Mkuu wa mfuko…