Radio Tadio

Sanaa

30 October 2023, 11:32 am

Wasanii watakiwa kutumia nyimbo kuelimisha jamii

Uimbaji ni moja ya sanaa pendwa ambapo wapo baadhi ya watu ambao wameweza kujiajiri kupitia sanaa hiyo pamoja na kutoa eleimu kwa jamii kukemea vitendo mbalimbali na kuburudisha. Na Thadei Tesha. Kufuatia kuhitimishwa kwa siku ya sanaa duniani wasanii wa…

28 September 2023, 10:27 am

Kazi za sanaa zilivyomtoa kimaisha Allen

Kazi za sanaa zinapendwa zaidi na wageni kutoka mataifa mengine kuliko wazawa wa Tanzania, licha ya changamoto ya kutopata wageni wa mara kwa mara katika biashara yake Allen hakukata tamaa. Na Zubeda Handrish- Geita Kutana na Allen Furaha Mushi Mjasiriamali…

13 August 2023, 6:44 pm

Mfuko wa sanaa kuwanufaisha wasanii Iringa

Na Hafidh Ally Mfuko wa utamaduni na sanaa Tanzania unatarajia kutoa Mikopo Mipya zaidi ya shilingi Bilion 20 kwa Wasanii hapa nchini katika mwaka huu wa fedha 2023/2024. Hayo yamezungumzwa na Bi. Nyakaho Mturi Mahemba Afisa Mtendaji Mkuu wa mfuko…