Migogoro
1 Oktoba 2025, 12:04 um
Kukosekana kwa kiinua mgongo, mshahara kilio kwa wenyeviti
Wamesema hali hiyo imewavunja moyo kuendelea kutumikia wananchi bila malipo ya kifuta jasho.Wanaiomba serikali kuwatambua kama sehemu ya ngazi za uongozi na kuwapa posho za kila mwezi. Picha na Blogsport. Kilio hiki cha wenyeviti kukosa mishahara au kifuta jasho kimeendelea…
22 Agosti 2025, 4:06 um
Vinara wa uwajibikaji wachaguliwa Inzomvu
Picha ni wakazi wa kijiji cha Inzomvu wilayani Mpwampwa wakiunga mkono uwepo wa vinara wa uwajibikaji. Picha na Seleman Kodima. Baadhi ya Vinara wa Uwajibikaji na usimamizi wa Rasilimali za umma kupitia Mradi wa Raia Makini waliochanguliwa na wananchi wameahidi…
22 Agosti 2025, 3:45 um
Mradi wa raia Makini wazidi kuimarisha ushiriki wa jamii
Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Kimagai wakiwa pamoja na Vinara wa uwajibikaji kupitia Mradi wa Raia Makini. Picha na Seleman Kodima. Mradi huu unatekelezwa katika mikoa 5 nchini Tanzania ambapo mkoani Dodoma unatekelezwa katika wilayani Mbili ambazo ni Bahi…
7 Agosti 2025, 1:41 um
Waratibu GEF watakiwa kuchakata taarifa kwa uadilifu
Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Zanzibar, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sitti Ali ameishuruku Wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum kwa kufanikisha ushiriki. Na Mariam Matundu.Waratibu wa Programu ya Kizazi chenye Usawa wametakiwa…
6 Agosti 2025, 9:49 mu
Serikali yatilia mkazo haki na usawa kwa wanawake
Ikumbukwe kwamba Programu ya Kizazi Chenye Usawa Tanzania (Tanzania Generation Equality Program). Utekelezaji wake unahusisha Wadau wa Sekta za Umma na Binafsi katika kipindi cha Miaka Mitano (2021/22 -2025/26). Na Mariam Matundu.Waratibu wa Programu ya kizazi chenye usawa (GEF) ngazi…
16 Julai 2025, 4:00 um
Dira ya maendeleo 2050 kuzinduliwa Julai 17
Sanjari na hayo amebainisha kuanza kwa utekelezaji wadira hiyo ifikapo mwezi july baada ya kwisha kwa dira iliyopo ivisasa. Na Anwary Shaban. Ripoti ya kukamilika kwa maendeleo 2050 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 17 mwezi july na Dkt. Samia Suluh Hassan jijini…
14 Julai 2025, 7:35 um
NMB yawa mkombozi kwa walimu Geita
Benki ya NMB imeendelea kuwa karibu na walimu ili kuwapunguzia baadhi ya changamoto ambazo ziko ndani ya uwezo wa benki hiyo kama mikopo yenye mashariti nafuu. Na Mrisho Sadick: Serikali imeahidi kuendeleza ushirikiano na Benki ya NMB kutokana na mchango…
5 Juni 2025, 4:49 um
Serikali yatoa bilioni 51 ukarabati wa miradi ya maendeleo Zanka
Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Samia Day yaliyofanyika katika Wilaya ya Bahi, Kata yaZanka, Mhe. Kasper amesema fedha hizo zimeboresha miradi mbalimbali ikiwemo ya elimu na afya. Na Anwary Shaban . Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kasper Mmuya amesema…
7 Aprili 2025, 5:18 um
Miradi ya zaidi ya bilioni 7 yajengwa katika kata ya Miyuji Dodoma
Miradi hiyo ni mradi wa barabara ya lami inayounganisha kata hiyo na Ipagala, zahanati ya Mpamaa, Shule ya Sekondari miyuji, na sule ya msingi mlimwa C. Na Alfred Bulahya.Kamati ya siasa kata ya Miyuji ikiongozwa na Diwani wa kata hiyo…
11 Febuari 2025, 5:14 um
Wananchi Kiteto wataka bajeti itatue changamoto za afya, elimu
Rasimu hii ya Bajeti imepitishwa kutumika Elfu Mbili na ishirini na Tano (2025) ishirini na Sita(2026). Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto wameishauri Bajeti ya zaidi ya shilingi billioni 38 iliyopitishwa na Baraza la madiwani itatue changamoto zinazo wakabili katika sekta…