Mazingira
3 December 2025, 13:57
Vijana waaswa kuwa wazalendo kwa jamii na Taifa
Vijana Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuacha kufanya mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Msaidizi Mstaafu wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…
24 November 2025, 9:10 pm
Mitandao ya kijamii inavyogeuka jukwaa la kipato
Je, unatumia mitandao ya kijamii kwa burudani tu, au umetambua fursa ya soko iliyopo? Katika kipindi chetu cha KURUNZI MAALUM, tumechambua kwa kina namna ya kutumia ongezeko la watumiaji wa intaneti nchini kufanya biashara na kujiingizia kipato. Usikose: Kupata maana…
24 November 2025, 14:34
Wakristo waaswa kufanya kazi na kuacha utegemezi
Wakristo wameaswa kufanya kazi kwa bidii na kuacha utegemezi Na Prisca Kizeba Waumi wa Dini ya Kikristo Katika Manispa ya Kigoma Ujiji wameaswa kufanya kazi ili waweze kuepukana na utegemezi na kujiletea maendeleo yao binafsi na kanisa kwa ujumla. Hayo…
20 November 2025, 11:32
Viongozi watakiwa kuwatumikia wananchi Kasulu
Viongozi wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na uwajibikaji Na Hagai Ruyagila Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mhashamu Emmanuel Bwatta amewahimiza viongozi wa Dini na watumishi wa umma nchini kuwatumikia wananchi kwa nidhamu, uadilifu, uwazi na uwajibikaji…
10 November 2025, 8:00 am
Akili Unde: mfariji mpya au tishio liliojificha?
Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…
7 November 2025, 10:16 am
Makala ya kurunzi kuhusu matumizi ya AI
“Kutokana na uwezo wake wa kuboresha huduma katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, usafiri, na biashara, AI inatoa faida nyingi“ Na Dorcus Charles Katika ulimwengu wa leo, teknolojia ya Akili Bandia (AI) imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya…
15 October 2025, 3:53 pm
Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…
September 21, 2025, 8:56 pm
Machifu Songwe waombea uchaguzi
Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…
18 September 2025, 7:38 pm
Wananchi Geita waipongeza Storm FM kutimiza miaka 11
Storm FM imekuwa daraja la kuunganisha jamii ya Geita kupitia vipindi vyake vya elimu, michezo, habari na burudani, jambo ambalo limewasaidia kuongeza mshikamano. Na Boaz Azalia: Wananchi mkoani Geita wameipongeza Storm FM kwa kutimiza miaka 11 leo tangu ianze kurusha…
8 September 2025, 14:43
Sangoma arudisha matunguli kanisani na kuokoka Uvinza
Wito umetolewa kwa waganga wa jadi kuacha kupiga ramli chonganishi kwenye jamii kwani zimekuwa zikileta uchonganishi kwa wananchi na kuchochea migogoro Na Sofia Cosmas Wakristo katika Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na imani za kishirikina na…