Mazingira
1 Januari 2026, 14:19
Wakristo waaswa kumtegemea Mungu katika maisha yao Misenyi
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kikukwe Dayosisi ya Kaskazini Magharibi Mchungaji Edward Mutashobya amesema kumtegemea mungu kunasaidia kuendelea kuwa maisha yaliyo mema. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo Wilayani Misenyi mkoani…
29 Disemba 2025, 09:45
Jamii Kasulu yaaswa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia chanya
Katika ulimwengu wa sasa, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku watu wengi hutumia mitandao kwa mawasiliano, kupata habari na kujiburudisha, hata hivyo, matumizi ya mitandao yanaweza kuwa na faida au hasara kulingana na namna inavyotumiwa.…
26 Disemba 2025, 11:56
Viongozi watakiwa kutambua changamoto za wananchi Kigoma
Ili kuharakisha maendeleo kwa jamii viongozi hawana budi kushirikiana katika kuwahudmia wananchi na kutatua changamozo azo Na Hagai Ruyagila Viongozi wa Serikali na dini nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wananchi wao ili kutambua changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi kwa…
25 Disemba 2025, 11:36
Wakristo watakiwa kusherekea krismas kwa upendo Kigoma
Waumini wa dini ya Kikristo duniani kutumia Sikukuu ya Krismasi ya mwaka huu kuchagua matendo ya huruma, huku wakizingatia umoja na mshikamano. Na Orida Sayon Wakristo Mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kusherehekea sikukuu ya kristmas kwa mazoea badala yake iwe sehemu…
23 Disemba 2025, 11:48
SHIMKIATA yakuza mila, tamaduni za asili kwa jamii Kigoma
Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…
23 Disemba 2025, 08:37
Wazazi, walezi waaswa kuwalinda watoto Kigoma
Jukumu la msingi la wazazi na walezi ni kuhakikisha watoto wanalindwa, wanalelewa kwa upendo na wanaishi katika mazingira salama ili waweze kufikia ndoto zao na kuchangia maendeleo ya jamii. Na Prisca Kizeba Wazazi na walezi wanapotekeleza wajibu wao ipasavyo, jamii…
17 Disemba 2025, 8:20 um
Wanawake kupewa elimu ya usalama mtandaoni
Serikali, asasi za kiraia na wadau wa teknolojia wametakiwa pia kushirikiana katika kuweka mifumo madhubuti ya kulinda watumiaji wa mitandao. Na Godfrey Mengele Jamii imehimizwa kuwapa elimu wanawake na wasichana kuhusu matumizi salama ya mitandao, ikiwemo kulinda taarifa binafsi, kutumia…
9 Disemba 2025, 12:32
Wachungaji watakiwa kuwa kielelezo cha kulinda maadili Kigoma
Katibu tawala Wilaya Kigoma Mganwa Nzota amesema wachungaji wana wajibu wa kuhakikisha wanalinda na kukemea maadili kwenye jamii ili kuwa na kizazi chenye maadili mema Na Prisca Kizeba Wachungaji Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa kielelezo katika kulinda mmonyoka wa maadili…
9 Disemba 2025, 10:03
Wazazi, walezi watakiwa kuwajengea misingi ya maadili watoto Kigoma
Katika jamii yoyote yenye matumaini ya kupata viongozi bora, jukumu la malezi ya watoto ni la msingi na la lazima na mojawapo ya nguzo muhimu zinazoweza kuwaongoza watoto kuwa viongozi wenye maadili ni kuwajengea msingi imara wa imani ya kimungu.…
3 Disemba 2025, 13:57
Vijana waaswa kuwa wazalendo kwa jamii na Taifa
Vijana Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuacha kufanya mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Msaidizi Mstaafu wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…