Radio Tadio

Mazingira

1 Januari 2026, 14:19

Wakristo waaswa kumtegemea Mungu katika maisha yao Misenyi

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kikukwe Dayosisi ya Kaskazini Magharibi Mchungaji Edward Mutashobya amesema kumtegemea mungu kunasaidia kuendelea kuwa maisha yaliyo mema. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo Wilayani Misenyi mkoani…

29 Disemba 2025, 09:45

Jamii Kasulu yaaswa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia chanya

Katika ulimwengu wa sasa, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku watu wengi hutumia mitandao kwa mawasiliano, kupata habari na kujiburudisha, hata hivyo, matumizi ya mitandao yanaweza kuwa na faida au hasara kulingana na namna inavyotumiwa.…

26 Disemba 2025, 11:56

Viongozi watakiwa kutambua changamoto za wananchi Kigoma

Ili kuharakisha maendeleo kwa jamii viongozi hawana budi kushirikiana katika kuwahudmia wananchi na kutatua changamozo azo Na Hagai Ruyagila Viongozi wa Serikali na dini nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wananchi wao ili kutambua changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi kwa…

25 Disemba 2025, 11:36

Wakristo watakiwa kusherekea krismas kwa upendo Kigoma

Waumini wa dini ya Kikristo duniani kutumia Sikukuu ya Krismasi ya mwaka huu kuchagua matendo ya huruma, huku wakizingatia umoja na mshikamano. Na Orida Sayon Wakristo Mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kusherehekea sikukuu ya kristmas kwa mazoea badala yake iwe sehemu…

23 Disemba 2025, 11:48

SHIMKIATA yakuza mila, tamaduni za asili kwa jamii Kigoma

Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…

23 Disemba 2025, 08:37

Wazazi, walezi waaswa kuwalinda watoto Kigoma

Jukumu la msingi la wazazi na walezi ni kuhakikisha watoto wanalindwa, wanalelewa kwa upendo na wanaishi katika mazingira salama ili waweze kufikia ndoto zao na kuchangia maendeleo ya jamii. Na Prisca Kizeba Wazazi na walezi wanapotekeleza wajibu wao ipasavyo, jamii…

17 Disemba 2025, 8:20 um

Wanawake kupewa elimu ya usalama mtandaoni

Serikali, asasi za kiraia na wadau wa teknolojia wametakiwa pia kushirikiana katika kuweka mifumo madhubuti ya kulinda watumiaji wa mitandao. Na Godfrey Mengele Jamii imehimizwa kuwapa elimu wanawake na wasichana kuhusu matumizi salama ya mitandao, ikiwemo kulinda taarifa binafsi, kutumia…

9 Disemba 2025, 12:32

Wachungaji watakiwa kuwa kielelezo cha kulinda maadili Kigoma

Katibu tawala Wilaya Kigoma Mganwa Nzota amesema wachungaji wana wajibu wa kuhakikisha wanalinda na kukemea maadili kwenye jamii ili kuwa na kizazi chenye maadili mema Na Prisca Kizeba Wachungaji Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa kielelezo katika kulinda mmonyoka wa maadili…

3 Disemba 2025, 13:57

Vijana waaswa kuwa wazalendo kwa jamii na Taifa

Vijana  Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji  wameaswa kuacha kufanya   mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti  Msaidizi Mstaafu  wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…