Mazingira
9 Disemba 2025, 12:32
Wachungaji watakiwa kuwa kielelezo cha kulinda maadili Kigoma
Katibu tawala Wilaya Kigoma Mganwa Nzota amesema wachungaji wana wajibu wa kuhakikisha wanalinda na kukemea maadili kwenye jamii ili kuwa na kizazi chenye maadili mema Na Prisca Kizeba Wachungaji Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa kielelezo katika kulinda mmonyoka wa maadili…
9 Disemba 2025, 10:03
Wazazi, walezi watakiwa kuwajengea misingi ya maadili watoto Kigoma
Katika jamii yoyote yenye matumaini ya kupata viongozi bora, jukumu la malezi ya watoto ni la msingi na la lazima na mojawapo ya nguzo muhimu zinazoweza kuwaongoza watoto kuwa viongozi wenye maadili ni kuwajengea msingi imara wa imani ya kimungu.…
3 Disemba 2025, 13:57
Vijana waaswa kuwa wazalendo kwa jamii na Taifa
Vijana Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuacha kufanya mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Msaidizi Mstaafu wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…
24 Novemba 2025, 9:10 um
Mitandao ya kijamii inavyogeuka jukwaa la kipato
Je, unatumia mitandao ya kijamii kwa burudani tu, au umetambua fursa ya soko iliyopo? Katika kipindi chetu cha KURUNZI MAALUM, tumechambua kwa kina namna ya kutumia ongezeko la watumiaji wa intaneti nchini kufanya biashara na kujiingizia kipato. Usikose: Kupata maana…
24 Novemba 2025, 14:34
Wakristo waaswa kufanya kazi na kuacha utegemezi
Wakristo wameaswa kufanya kazi kwa bidii na kuacha utegemezi Na Prisca Kizeba Waumi wa Dini ya Kikristo Katika Manispa ya Kigoma Ujiji wameaswa kufanya kazi ili waweze kuepukana na utegemezi na kujiletea maendeleo yao binafsi na kanisa kwa ujumla. Hayo…
20 Novemba 2025, 11:32
Viongozi watakiwa kuwatumikia wananchi Kasulu
Viongozi wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na uwajibikaji Na Hagai Ruyagila Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mhashamu Emmanuel Bwatta amewahimiza viongozi wa Dini na watumishi wa umma nchini kuwatumikia wananchi kwa nidhamu, uadilifu, uwazi na uwajibikaji…
10 Novemba 2025, 8:00 mu
Akili Unde: mfariji mpya au tishio liliojificha?
Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…
7 Novemba 2025, 10:16 mu
Makala ya kurunzi kuhusu matumizi ya AI
“Kutokana na uwezo wake wa kuboresha huduma katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, usafiri, na biashara, AI inatoa faida nyingi“ Na Dorcus Charles Katika ulimwengu wa leo, teknolojia ya Akili Bandia (AI) imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya…
15 Oktoba 2025, 3:53 um
Polisi Unguja waunasa mtandao wa wizi wa pikipiki
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kanda ya Zanzibar limeendesha operesheni maalum katika mikoa mitatu ya Unguja kufuatia kuongezeka kwa matukio ya wizi wa pikipiki, ambapo jumla ya watu 17 wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na mtandao wa wizi na…
Septemba 21, 2025, 8:56 um
Machifu Songwe waombea uchaguzi
Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…