Radio Tadio

Maji

24 October 2025, 6:03 pm

Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala

Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…

23 October 2025, 5:10 pm

Zaidi ya milioni 156 zimetolewa kwa wajasiliamali Itilima

“Tunataka kuwa na wananchi wenye uchumi himilivu katika taifa hili ili kusaidia kupunguza umasikini uliokithili,kupunguza vifo vitokanavyo na watu kukosa pesa ya kujikimu kimatibabu ikuwa pamoja na kuondoa changamoto ya wimbi la watoto mitaani”.  Na,Daniel Manyanga  Zaidi ya milioni 156…

22 October 2025, 2:46 pm

Leseni ya udereva, Paspoti na NIDA kumchagua kiongozi

“Kuchagua kiongozi unayemtaka ni takwa la kikatiba katika kuleta maendeleo kwenye eneo husika ndiyo maana sasa unapofika uchaguzi tunawataka wananchi waweze kuitumia hiyo haki ya kuchagua kiongozi wamtakao wenyewe”. Na,Daniel Manyanga  Wilayani Maswa mkoani Simiyu imeelezwa kuwa wale wote waliopoteza…

21 October 2025, 10:06 pm

CCM yatoa elimu ya kupiga kura kwa vitendo jimbo la Geita

Elimu hiyo inalenga kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu mchakato wa upigaji kura, ili kuhakikisha kila kura inayopigwa inahesabiwa ipasavyo. Na Mrisho Sadick: Zikiwa zimesalia siku nane kuelekea Uchaguzi Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita kimeendelea kutoa elimu kwa…

21 October 2025, 8:39 pm

Magumba wa Lali jela miaka 30 kwa kubaka mwanae

“Jamii inahitaji sasa elimu ya hali ya juu ya kulinda tamaa za kimwili maana pamoja na kuwa na sheria kali zilizotungwa lakini bado tu jamii inafanya vitendo vya ukatili kwa watoto.”  Na,Daniel Manyanga  Mahakama ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu…

20 October 2025, 9:02 pm

DC Maswa wezi wa vifaa vya trekta kupandishwa kotini

“Kuna misemo huko mtaani kuwa mali ya serikali haina mwenyewe nataka kuwaambia kuwa haya matrekta mwenyewe yupo ukifanya unavyojuwa wewe tutakuchukulia hatua kali za kisheria”.  Na,Daniel Manyanga  Mkuu wa wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, Dkt.Vicent Naano Anney ameitaka bodi Pamba…

18 October 2025, 9:12 pm

Serikali ya ADA TADEA migodi yote kumilikiwa na wazawa

Hatua hiyo inalenga kurejesha mamlaka ya kiuchumi mikononi mwa wananchi na kuhakikisha rasilimali za taifa zinawanufaisha Watanzania wengi badala ya wachache. Na Mrisho Sadick: Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA TADEA, Georges Busungu, amesema…

18 October 2025, 3:52 am

Dkt. Jafari aahidi kuibeba ajenda ya halmashauri mpya

Ni mchaka mchaka kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, ambapo mgombea wa Ubunge Jimbo la Busanda kwa tiketi ya CCM ameendelea kusaka kura kwa wananchi. Na: Ester Mabula Mgombea Ubunge wa jimbo la Busanda kupitia tiketi ya…