
Maji

13 March 2025, 1:04 pm
Bariadi: Chifu wa Kilulu jela miaka 20, viboko 12 kwa kumiliki fisi
“Je sheria zetu zinasemaje mtu mpaka kuanza kumiliki nyara za serikali bila kuwa na kibali chochote kutoka kwa mamlaka za uhifadhi wanyamapori huyo mnyama mpaka anaanza kumilikiwa je ! mamlaka za uhifadhi tulikuwa wapi kuzuia vitendo hivyo ni fikra zangu…

12 March 2025, 6:07 pm
Madereva wa magari madogo ya abiria wagoma kufanya usafirishaji Bariadi
“Hoja za madereva wa daladala mkoa wa Simiyu naomba zisikilizwe maana kuna hoja kubwa sana ni kweli serikali yangu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imejenga stund tena nzuri kweli ya kisasa lakini sasa hatuwezi kuwachanganya hawa tunaenda kuua biashara…

12 March 2025, 12:19 pm
Masunga, Daudi jela miaka 5 kwa wizi wa nguruwe wilayani Maswa
“Hatuwezi kuendelea kuona watu ambao wanapambana katika kujikwamua kiuchumi kwa kufanya shughuli mbalimbali wanarudishwa nyuma na watu ambao hawana nia njema ya kujenga uchumi wa mtu mmoja mmoja hadi Taifa kwa ujumla lazima tuwajibishane kwa kufuata sheria ili kukomesha tabia…

9 March 2025, 2:45 pm
Mbunge atoa kompyuta 5 Ihanamilo sekondari
Wadau mbalimbali wa elimu wameombwa kuendelea kujitokeza kusaidia sekta hiyo hususani katika masuala ya TEHAMA. Na Mrisho Shabani: Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Costantine Kanyasu ametoa Kompyuta zenye thamani ya zaidi ya milioni 10 katika shule ya sekondari Ihanamilo…

7 March 2025, 2:13 pm
Wanawake Katavi watakiwa kugombea nafasi za uongozi uchaguzi mkuu
Picha ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Makongoro Nyerere. Picha na Anna Mhina “Wanawake wajitokeze kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu” Na Anna Mhina Wanawake mkoani Katavi wametakiwa kujitoka katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.…

February 26, 2025, 5:31 pm
Serikali ya Mtaa yaifukuza SAMBA MICROFINANCE kwa kuwaumiza wananchi
“Hawa akina mama walikopa mwezi Januari tarehe 30, 2025 walitakiwa kufanya marejesho ya mkopo mwezi March 01, 2025 lakini kabla hata muda wa kurudisha haujafika wamepeleka hela wanakataliwa wanapigwa penati ya mara mbili ya fedha ambayo walitakiwa kurejesha hii sio…

24 February 2025, 3:51 pm
TRA mkoa wa Simiyu yakusanya bilioni 14.2 kwa miezi sita
‘‘Hakuna mtu yeyote atakayetoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu kutuambia namna bora ya kulifanya taifa letu liweze kusonga mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kufikia malengo mama ya taifa kama sisi wenyewe hatutaweza kulipa kodi kwa…

February 24, 2025, 2:25 pm
Afariki kwa kupigwa shoti ya umeme akiiba nyaya
“Ulinzi wa miundombinu ya umeme ni jukumu letu sote, toeni taarifa kuhusu wanaohujumu. Pia wananchi epukeni kusogea kwenye Transfoma na njia za umeme kwani ni hatari. Ukiangalia hata hapa kwenye hii Transfoma kuna onyo kabisa kwamba ni HATARI”,amesema Mhandisi Tarimo.…

21 February 2025, 3:38 pm
Pangani tayari kumpokea Dkt. Samia
mama tunakukaribisha sana Pangani, lakini tunaomba utukamilishie barabara ya Tanga-Pangani -Saadan na Daraja la mto Pangani NA abdillahim Shukran Washuku Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Pangani Mkoani Tanga wameelezea shauku yao kufuatia ziara ya Rais wa Tanzania Dokta Samia…

19 February 2025, 8:30 pm
Simiyu:Chatanda viongozi wanawake tendeni haki bila kujali vyama
“Uongozi siyo kupiga kelele ni kuleta mabadiliko chanya katika eneo lako la kiutawala kama kuna changamoto zozote zile kwa wananchi tuanataka utuambie umefanya nini kuzitatua hizo shida ili jamii iseme kweli hapa tunakiongozi na siyo msindikizaji viongozi”. Na, Daniel Manyanga …