Kilimo
4 Oktoba 2024, 17:21
Benki ya EXIM yaahidi kutoa huduma bora kwa wateja wake
Benki ya Exim tawi la Kigoma imesema itaendelea kuboresha na kutoa huduma bora kwa wateja wake huku ikiwataka wafanyabiashara na mashirika yaliyopo mkoani kigoma kujitokeza na kuomba mikopo inayotolewa na benki hiyo kwa lengo la kukuza biashara zao. Na Joha…
4 Oktoba 2024, 13:27
Wazazi watakiwa kuwezesha watoto kupata elimu bora
Serikali imewataka wazazi na walezi kuendelea kuwapeleka watoto wao shule ili kupata elimu itakayowasaidia kuweza kutimiza ndoto zao. Na Lucas Hoha – Kasulu DC Wazazi katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema…
4 Oktoba 2024, 13:03
Jamii yaaswa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Wito umetolewa kwa jamii na wadau wa maendeleo kutoa taarifa za watoto wenye ulemavu na kuwafichua ili waweze kupelekwa shule na kupata elimu kama watoto wengine kwenye jamii. Na Sadiki Kibwana – Kigoma Wazazi na walezi Manispaa ya Kigoma Ujiji…
4 Oktoba 2024, 11:48
Wadau watoa msaada wa vyakula na vifaa shule ya kasange
Wadau wa maendeleo wilayani kasulu mkoani kigoma wametakiwa kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kusaidia kuboresha elimu ili kusaidia watoto waweze kupata haki yao ya elimu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Katika kuunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha…
30 Septemba 2024, 12:46
Wananchi wenye sifa watakiwa kugombea nafasi za uongozi Kasulu
Msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya Mji Kasulu ambaye pia ni Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mwl. Vumilia Simbeye amewataka wananchi kujitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba…
26 Septemba 2024, 12:35
Shule ya Ndalichako yakabiliwa na upungufu wa madawati
Serikali imesema itandelea kushirikiana na wadau katika kuboresha miundombinu ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Shule ya msingi Ndalichako iliyopo Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upungufu wa madawati,…
24 Septemba 2024, 12:27
Namna ongezeko la watu linavyoathri uchumi wa kaya
Serikali imesema halmashauri nchini hazina budi kutumia matokeo ya sensa ya mwaka 2022 kwa ajili ya kupanga maendeleo ya watu, familia na taifa kwa ujumla. Na Michael Mpunije – Kasulu Inaelezwa kuwepo kwa idadi kubwa ya watu kwenye kaya hupelekea…
23 Septemba 2024, 15:58
Miradi ya bilioni 4 yakaguliwa na kuzinduliwa Kibondo
Mwenge wa uhuru kitaifa kwa mwaka 2024 umekimbizwa wilayani Kibondo mkoani Kigoma na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani humo. Na James Jovin – Kibondo Jumla ya miradi sita yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 4 imekaguliwa, kuwekewa mawe…
23 Septemba 2024, 13:26
Wakristo watakiwa kuliombea taifa amani Kasulu
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mji wa Kasulu amewataka wakristo kuendelea kuliombea taifa na mshikamano hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu…
19 Septemba 2024, 10:39
Serikali yatumia bilioni 19 kuboresha sekta ya afya Kigoma
Serikali imesema kuwa itaendelea kujenga na kuboresha miradi mbalimbali hususani miradi ya afya kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi na kupata huduma karibu na maeneo yao. Na James Jovin – Kibondo Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita serikali imefanya uwekezaji…