Habari za Jumla
15 November 2024, 2:00 pm
Watumishi wa afya Kilosa wapewa nondo kubaini ukondefu, udumavu kwa watoto
Serikali inaendelea kupambana na changamoto zinazowakabili watoto chini ya miaka miwili ambao wamekuja wakikabiliwa na ukondefu mkali ama utapiamulo pamoja na udumavu kwa kutoa elimu kwa watumishi wa afya. Na Asha Rashid Madohola Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Lishe, Ndugu…
15 November 2024, 12:26 pm
BUFADESO wahaidi kuwa kinala maonesho ya kilimo mseto Mara
Baraka amesema kama walivyofanya miaka mingine nyuma na msimu huu wamejipanga kushinda katika maonesho hayo kutokana na ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wakulima wao. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kujenga mazingira wezeshi…
14 November 2024, 8:05 pm
Badili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza!
Na Mariam Ma Mtindo wa maisha umetajwa kuchaingia kwa kuchangia uwezekano wa jamii kuathiriwa na magonjwa yasiyoambukiza. Gaudensia Kalalu ni mtaalamu wa saikolojia kutoka hospitali ya taifa afya akili mirembe anazungumzia zaidi aina ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na sababu zinazopellekea…
12 November 2024, 5:26 pm
Chuo cha ualimu Mpwapwa chatumia nishati mbadala kwa mapishi
Na Noel Steven. Chuo cha ualimu Mpwapwa kimetekekeza agizo la Ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira ya kutumia nishati rafiki ili kupunguza atathari za mazingira. Mkuu wa Chuo hicho Bwn. Gerald Richard amesema kuwa kwa sasa wanatumia kuni…
12 November 2024, 12:17 pm
Katavi :Wanahabari na wadau wa utamaduni Wametakiwa kuibua Urithi wa Utamadu…
Baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa Katavi ,wadau wa utamaduni pamoja na wakufunzi kutoka TAMCODE.picha na Betord Chove vijana wanaachana na dhana ya kutegemea ajira serikalini na kujishughulisha na vitu vyao vya asili kujipatia kipato Na Betord Chove -Katavi…
12 November 2024, 10:22 am
Zifahamu athari za kunyanyapaa mtoto yatima
Na Leonard Mwacha Dunia inaadhimisha siku ya mtoto yatima huku ikilenga kuangazia mahitaji yao ya muhimu na makuzi yasiyo ya kibaguzi. Mwandishi wetu Leonard Mwacha amezungumza na mwanasaikolojia na mshauri nasihi Peter Njau, kuhusu namna bora ya kuishi na mtoto…
8 November 2024, 7:15 pm
Shule ya Sekondari Kiwanja cha Ndege yajimarisha kiulinzi
N Mindi Joseph. Ujenzi wa uzio katika shule ya sekondari kiwanja cha ndege Dodoma umetajwa kuwalinda wanafunzi dhidi ya utoro pamoja na changamoto mbalimbali. Mkuu wa shule hiyo Mwl. Daniel Mpagama anaelezea hali ya usalama hali ilivyokuwa kabla ya ujenzi…
8 November 2024, 3:32 pm
Katavi :vishikwambi 23 kuongeza ufanisi wa kazi kwa maafisa ugani
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda Haidary Sumry wa kwanza kulia akikabidhi kishikwambia kwa afisa ugani .picha na John Benjamin Na John Benjamini-Katavi Vishikwambi 23 vimegawiwa kwa Maafisa Ugani Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi…
8 November 2024, 3:17 pm
Katavi:mtendaji kata apewa adhabu ya kukatwa mshahara kwa kipindi cha miaka 3
kikao cha baraza la madiwani Nsimbo.picha na Rachel Ezekia “Mtendaji huyo licha ya kuitwa mara kadhaa na mwajiri wake na kuonywa bado aliendelea kutozingatia maagizo ndipo ilipoundwa tume ya uchunguzi kisha kurudisha majibu Hatimaemaamuzi yamefanyika.“ Na Rchel Ezekia -katavi Baraza…
6 November 2024, 5:53 pm
Utandawazi chanzo cha ufahamu kwa mtoto
Na Lilian Leopold. Mitandao ya kijamii imetajwa kuwa ni moja ya chanzo kikubwa cha ufahamu watoto wa kitanzania kujifunza mambo mbalimbali. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi mkoani Dodoma ambapo wamesema kuwa mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri itawasaidia watoto kujifunza…