Radio Tadio

Habari za Jumla

15 November 2024, 12:26 pm

BUFADESO wahaidi kuwa kinala maonesho ya kilimo mseto Mara

Baraka amesema kama walivyofanya miaka mingine nyuma na msimu huu wamejipanga kushinda katika maonesho hayo kutokana na ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wakulima wao. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kujenga mazingira wezeshi…

14 November 2024, 8:05 pm

Badili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza!

Na Mariam Ma Mtindo wa maisha umetajwa kuchaingia kwa kuchangia uwezekano wa  jamii kuathiriwa na magonjwa yasiyoambukiza. Gaudensia Kalalu ni mtaalamu wa saikolojia kutoka hospitali ya taifa afya akili mirembe anazungumzia zaidi  aina ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na sababu zinazopellekea…

12 November 2024, 10:22 am

Zifahamu athari za kunyanyapaa mtoto yatima

Na Leonard Mwacha Dunia inaadhimisha siku ya mtoto yatima huku ikilenga kuangazia mahitaji yao ya muhimu na makuzi yasiyo ya kibaguzi. Mwandishi wetu Leonard Mwacha amezungumza na mwanasaikolojia na mshauri nasihi Peter Njau, kuhusu namna bora ya kuishi na mtoto…

6 November 2024, 5:53 pm

Utandawazi chanzo cha ufahamu kwa  mtoto

Na Lilian Leopold.                                    Mitandao ya kijamii imetajwa kuwa ni moja ya chanzo kikubwa cha ufahamu  watoto wa kitanzania kujifunza mambo mbalimbali. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi mkoani Dodoma ambapo wamesema kuwa mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri itawasaidia watoto kujifunza…