Radio Tadio

Habari za Jumla

18 Januari 2021, 1:52 um

Mvua yachangia miwa kupanda bei sokoni

Na,Shani Nicholous, Dodoma. Changamoto ya usafirishaji wa miwa imetajwa kama moja ya sababu inayochangia zao hilo kupanda bei ukilinganisha na hapo awali.Miwa husafirishwa kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine na kwa Dodoma wafanyabiashara wengi wamekuwa wakizipata kwa wingi Mkoani Tanga.Wakizungumza na…

18 Januari 2021, 1:40 um

TAKUKURU Dodoma yaanza na taasisi na mashirika 2021

Na,Mindi Joseph,                                 Dodoma. Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Dodoma imesema katika robo ya kwanza ya mwaka 2021 kuanzia January hadi machi itaweka mkazo katika  kuchunguza ubadhilifu wa fedha za umma na taasisi binafisi. Akizungumza na…

18 Januari 2021, 1:28 um

CVT yatoa huduma ya uchunguzi wa macho bure

Na,Alfred Bulahya, Dodoma. Hospitali ya macho ya CVT iliyopo Uzunguni jijini Dodoma imeanza kampeni ya uchunguzi na kupima macho bure kuanzia leo Januari 28 mwaka huu, kwa lengo la kuwawezesha watu wenye vipato vya chini kupata huduma hiyo.Akizungumza na taswira…

18 Januari 2021, 11:43 mu

Ajiua kwa wivu wa Mapenzi

Mtu mmoja aliejulikana kwa jina la Chikwisu mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki dunia baada ya kujimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake Awali akizungumza na Newala FM mtoto…

16 Januari 2021, 7:05 um

Katika kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kuwa ifikapo tarehe 15 Januari miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa iwe imekamilika Mkuu Wa Wilaya ya Kilosa  Adam Mgoyi ametembelea miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule…

14 Januari 2021, 2:31 um

Takukuru yaokoa shilingi milioni 8.3 Kilosa.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro imefanikiwa kuokoa fedha kiasi cha shilingi milioni 8,300,000 Kati ya milioni 212,503,559.29 ambazo chama cha Ushirika wa Akiba na mikopo cha Walimu Wilayani humo (Kilosa Teachers Saccos) kinadai…

14 Januari 2021, 2:55 mu

Kilosa yajipanga kuto poteza vipindi darasani.

Wakati shule zikifunguliwa kwa ajili ya wanafunzi kuanza rasmi masomo yao Januari 11 mwaka huu mkoa wa Morogoro upande wa elimu sekondari umejipanga kuishi katika kauli mbiu ya hakuna kipindi kupotea lengo likiwa ni kuhakikisha wanafunzi wanafaulu katika kiwango kizuri kinachoridhisha. Hayo yamebainishwa…