Habari za Jumla
29 Januari 2021, 9:56 mu
Vipigo kwa wanawake kukomeshwa ifikapo 2022
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imesema itaendelea kuhakikisha changamoto ya wanawake kufanyiwa ukatili kwa kupigwa inapungua kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2022. Taswira ya habari imezungumza na Monika Chisongela Mratibu wa Dawati la Jinsia Wilaya ya Bahi, ambapo amebainisha kuwa jumla…
29 Januari 2021, 9:28 mu
Wananchi Matumbulu walilia kituo cha Polisi
Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata za Matumbulu na Mpunguzi jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwajengea kituo kidogo cha Polisi ili kukabiliana na matukio mbalimbali ya kihalifu. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa katika Kata nzima wana askari…
26 Januari 2021, 11:37 mu
Tanesco kumaliza tatizo la kukatika umeme Kilosa- Meneja Tanesco
Shirika la Umeme Tanzania Tanesco wilayani Kilosa limejipanga kikamilifu kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara katika baadhi ya maeneo kunakosababishwa na nguzo chakavu zilizooza ama kuanguka. Akizungumza Januari 26 2021 katika kipindi cha Mambo Mseto kinachorushwa na…
25 Januari 2021, 8:59 mu
Prof.Mkenda:Tunatilia mkazo uzalishaji mazao ya mafuta
Na,Alfred Bulaya, Dodoma. Serikali imesema inaweka nguvu kubwa katika uzalishaji wa mazao ya mafuta ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa mafuta inayotokea nchini na kupunguza kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi. Mkazo huo unawekwa kwa kuzingatia kwamba ni asilimia…
21 Januari 2021, 1:44 um
Jamii imetakiwa kula Mlo kamili kuimarisha Kinga ya Mwili-Kilosa
Wito umetolewa kwa jamii kula Mlo kamili kwa kuzingatia makundi matano ya Chakula ili kuimarisha Kinga ya Mwili Isishambuliwe na magonjwa. Wito huo umetolewa januari 21, 2021 na Mratibu wa Shughili za Wahudumu kutoka Mradi wa Lishe endelevu Wilayani Kilosa…
20 Januari 2021, 1:57 um
Wananchi Ihumwa walalamikia ubovu wa barabara
Na,Victor Chigwada, Dodoma. Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ihumwa jijini Dodoma wamelalamikia ubovu wa miundombi ya barabara uliotokana na mvua zinazoendelea kunyesha ambapo zimesababisha kukatika kwa mawasiliano kutokana na magari kushindwa kufika kwenye kituo cha maegesho.Wakizungumza na taswira ya…
20 Januari 2021, 1:23 um
Kambi za kitaaluma zachochea ufaulu Bahi
Na,Seleman Kodima, Dodoma. Uwepo wa kambi katika shule za msingi kwa madarasa ya Mitihani katika Kata ya Bahi Wilayani Bahi imetajwa kama sababu ya Ongezeko la Ufaulu wa Darasa la saba kwa mwaka huu.Hayo yamesemwa na Diwani wa kata hiyo…
19 Januari 2021, 2:29 um
Kampeni ya uchunguzi wa macho CVT yaendelea
Na,Alfred Bulahya Dodoma. Kampeni ya kupima na kufanya uchunguzi wa macho katika hospitali ya macho ya CVT iliyopo Uzunguni Jijini Dodoma, imeendelea leo kwa kufanya upasuaji kwa wagonjwa 3 waliobainika kukutwa na tatizo la mtoto wa jicho.Hayo yanajiri ikiwa ni…
18 Januari 2021, 1:52 um
Mvua yachangia miwa kupanda bei sokoni
Na,Shani Nicholous, Dodoma. Changamoto ya usafirishaji wa miwa imetajwa kama moja ya sababu inayochangia zao hilo kupanda bei ukilinganisha na hapo awali.Miwa husafirishwa kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine na kwa Dodoma wafanyabiashara wengi wamekuwa wakizipata kwa wingi Mkoani Tanga.Wakizungumza na…
18 Januari 2021, 1:40 um
TAKUKURU Dodoma yaanza na taasisi na mashirika 2021
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Dodoma imesema katika robo ya kwanza ya mwaka 2021 kuanzia January hadi machi itaweka mkazo katika kuchunguza ubadhilifu wa fedha za umma na taasisi binafisi. Akizungumza na…