Radio Tadio

Habari za Jumla

2 Febuari 2021, 8:25 mu

Mbadala wa vifungashio visivyotakiwa kupatikana

Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kufuatia tamko la Waziri wa nchi Ofisi ya makamu wa rais Muungano na mazingira Mh.Ummy Mwalimu la Januari 8 mwaka huu kutoa muda wa miezi 3 kuhakikisha vifungashio vinavyotumika kufungia bidhaa sokoni havitumiki , watendaji wameanza kutoa…

29 Januari 2021, 9:56 mu

Vipigo kwa wanawake kukomeshwa ifikapo 2022

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imesema itaendelea kuhakikisha changamoto ya wanawake kufanyiwa ukatili kwa kupigwa inapungua kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2022. Taswira ya habari imezungumza na Monika Chisongela Mratibu wa Dawati la Jinsia Wilaya ya Bahi, ambapo amebainisha kuwa jumla…

29 Januari 2021, 9:28 mu

Wananchi Matumbulu walilia kituo cha Polisi

Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata za Matumbulu na Mpunguzi jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwajengea kituo kidogo cha Polisi ili kukabiliana na matukio mbalimbali ya kihalifu. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa katika Kata nzima wana askari…

25 Januari 2021, 8:59 mu

Prof.Mkenda:Tunatilia mkazo uzalishaji mazao ya mafuta

Na,Alfred Bulaya, Dodoma. Serikali imesema inaweka nguvu kubwa katika uzalishaji wa mazao ya mafuta ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa mafuta inayotokea nchini na kupunguza kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi. Mkazo huo unawekwa kwa kuzingatia kwamba ni asilimia…