Habari za Jumla
2 Febuari 2021, 11:20 mu
Shule ya Sekondari Mazinyungu yajipanga Kuizika Sifuri 2021.
Wanafunzi wa kidato cha nne shule ya Sekondari Mazinyungu Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wemejipanga kuzika Daraja sifuri ili isionekane shuleni hapo katika matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2021. Wakizungumza Januari 29 mwaka huu katika kikao mkakati cha kuzika sifuri…
2 Febuari 2021, 8:25 mu
Mbadala wa vifungashio visivyotakiwa kupatikana
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kufuatia tamko la Waziri wa nchi Ofisi ya makamu wa rais Muungano na mazingira Mh.Ummy Mwalimu la Januari 8 mwaka huu kutoa muda wa miezi 3 kuhakikisha vifungashio vinavyotumika kufungia bidhaa sokoni havitumiki , watendaji wameanza kutoa…
1 Febuari 2021, 10:28 mu
Prof Kabudi aongeza nguvu ujenzi shule za sekondari Dakawa mazoezi,Magole na Dum…
Mbunge wa Jimbo la Kilosa Paramagamba Kabudi Januari 31 amekabidhi mifuko 450 ya saruji yenye thamani ya shilingi milioni 7.2 ikiwa ni fedha zake binafsi katika shule za sekondari Mazoezi Dakawa, Magole na Dumila ambapo kila shule imepata mifuko 150…
1 Febuari 2021, 2:40 mu
Prof Kabudi azipa nguvu akabidhi shule ya Dakawa Mazoezi,sekondari ya Magole na…
30 Januari 2021, 6:55 um
Prof. Kabudi akabidhi mifuko 200 ya saruji shule ya Sekondari Mabula Kilosa ili…
Mbunge wa Jimbo la Kilosa Prof Palamagamba Idan Kabudi amekabidhi saruji mifuko 200 sawa na Tani kumi yenye thamani ya kiasi Cha shilingi Milioni 3.2 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba Viwili nya Madarasa katika shule ya Sekondari Mabula Wilayani…
29 Januari 2021, 9:56 mu
Vipigo kwa wanawake kukomeshwa ifikapo 2022
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imesema itaendelea kuhakikisha changamoto ya wanawake kufanyiwa ukatili kwa kupigwa inapungua kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2022. Taswira ya habari imezungumza na Monika Chisongela Mratibu wa Dawati la Jinsia Wilaya ya Bahi, ambapo amebainisha kuwa jumla…
29 Januari 2021, 9:28 mu
Wananchi Matumbulu walilia kituo cha Polisi
Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata za Matumbulu na Mpunguzi jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwajengea kituo kidogo cha Polisi ili kukabiliana na matukio mbalimbali ya kihalifu. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa katika Kata nzima wana askari…
26 Januari 2021, 11:37 mu
Tanesco kumaliza tatizo la kukatika umeme Kilosa- Meneja Tanesco
Shirika la Umeme Tanzania Tanesco wilayani Kilosa limejipanga kikamilifu kumaliza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara katika baadhi ya maeneo kunakosababishwa na nguzo chakavu zilizooza ama kuanguka. Akizungumza Januari 26 2021 katika kipindi cha Mambo Mseto kinachorushwa na…
25 Januari 2021, 8:59 mu
Prof.Mkenda:Tunatilia mkazo uzalishaji mazao ya mafuta
Na,Alfred Bulaya, Dodoma. Serikali imesema inaweka nguvu kubwa katika uzalishaji wa mazao ya mafuta ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa mafuta inayotokea nchini na kupunguza kuagiza mafuta kutoka nje ya nchi. Mkazo huo unawekwa kwa kuzingatia kwamba ni asilimia…
21 Januari 2021, 1:44 um
Jamii imetakiwa kula Mlo kamili kuimarisha Kinga ya Mwili-Kilosa
Wito umetolewa kwa jamii kula Mlo kamili kwa kuzingatia makundi matano ya Chakula ili kuimarisha Kinga ya Mwili Isishambuliwe na magonjwa. Wito huo umetolewa januari 21, 2021 na Mratibu wa Shughili za Wahudumu kutoka Mradi wa Lishe endelevu Wilayani Kilosa…