Habari za Jumla
15 Machi 2021, 10:59 mu
Wanabari pingeni ukeketaji
Waandishi wa habari wa redio za jamii nchini wametakiwa kuelimisha jamii juu ya kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni dhidi ya wanawake na watoto hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya Arusha Angela Kiama Mvaa katika…
13 Machi 2021, 9:35 um
C Sema na TADIO zawajengea uelewa waandishi juu ya ukeketaji na ndoa za utotoni
Na,Rabiamen Shoo. Arusha. Asasi isiyo ya kiserikali ya C Sema na mtandao wa radio za kijamii Tanzania TADIO, wakiwezeshwa na UNFPA zimefanya kikao kazi cha siku mbili na waandishi wa habari kutoka redio za kijamii, kuwajengea uwezo wa namna ya…
13 Machi 2021, 4:30 mu
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walia na Serikali -Kilosa
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walioko Kata ya magomeni Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro amba wanafahamika kwa jina la Magomeni Children Development Machide wamomba serikali na wadau mbalimba kuwatazama katika jicho la huruma ili kuwasaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili katika…
11 Machi 2021, 7:52 um
Halmashauri ongezeni nguvu katika sekta ya kilimo-DC Mgoyi.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa rai kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kutambua kuwa Wilaya ya Kilosa ni wilaya ya kilimo iliyojaa mito yenye maji ya kutosha hivyo ni vema wilaya ikajikita zaidi katika uzalishaji ili kupata…
10 Machi 2021, 11:45 MU
Ndoa Na Taraka Katika Jamii!!!
Hakimu mkazi mfawidhi mahakama ya mwanzo lisekese masasi LIGHTINESS MASIMBA alipokuwa akizungumza na kipini cha amka na radio fadhila akizungumzia maswala ya ndoa na taraka ameeleza maana ya ndoa kwa mujibu wa sheria ya ndoa sheria number 29 iliyofanyiwa marejeo…
9 Machi 2021, 12:56 um
Idadi ya wanaume wanaopima VVU yaongezeka
Na, Yussuph Hans, – Dodoma. Imeelezwa kuwa kupitia mkakati wa Serikali wa kumtaka mama mjamzito kuambatana na mwenzi wake kliniki umesaidia kwa kiasi kikubwa kuwapima virusi vya ukimwi wanaume ambao awali,walikuwa wagumu kupima. Hayo yamebainishwa na mratibu wa Ukimwi kwenye…
9 Machi 2021, 11:57 mu
Umeme upo wakutosha Mtwara na Lindi – TANESCO
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mtwara limesema kwa sasa uzalishaji wa umeme Mtwara na Lindi umeongezeka na kupita kiwango cha matumizi ya mikoa hii ya Lindi na Mtwara na wanahakikisha kila mwananchi ananufaika na nishati hii ya umeme.…
9 Machi 2021, 09:35 mu
Msitegemee Korosho tu: Makamu rais TCCIA
Wakulima mkoani Mtwara wameshauriwa kulima kilimo bora na cha kisasa ili kuendana na fursa mbalimbali za masoko na mazao ya kibiashara ikiwemo zao la muhogo. Akitoa wito huo jana Machi 08,2021 kupitia Jamii FM Radio Makamu wa rais wa chama…
9 Machi 2021, 9:14 mu
Dodoma Jiji Fc wasaka rekodi
Na, Rabiamen Shoo, – Dodoma. Timu ya Dodoma Jiji Fc hii leo inatarajia kushuka katika dimba la Sokoine jijini Mbeya kuvaana na wenyeji wao Mbeya City Fc kwenye mechi ya ligi kuu soka Tanzania Bara. Dodoma jiji hivi karibuni imeibuka…
9 Machi 2021, 8:32 mu
Zaidi ya trilion 1 zawekezwa sekta ya elimu nchini
Na, Yussuph Hans, Dodoma. Imeelezwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.291 zimewekezwa katika mpango wa elimu bure, ambapo matokeo yake yameonekana kwa kuongezeka kwa idadi kubwa ya wanafunzi Shuleni pamoja na Ufaulu. Hayo yamebainishwa na msemaji mkuu wa Serikali na…