Radio Tadio

Habari za Jumla

22/03/2021, 07:55

Ratiba ya kuaga Mwili wa Rais Magufuli Dodoma yabadilishwa

Na; Mariam  Kasawa. Baada ya uongozi wa mkoa wa Dodoma kutambua hamu ya wakazi wa  jiji hili ya kutamani kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli  wameamua kuzunguka maeneo mbalimbali ili kila mwananchi aweze kushiriki zoezi hili. Akizungumza na waandishi wa…

22/03/2021, 05:24

Kikwete asema Tanzania ipo salama mikononi mwa Rais Samia

Na; Mariam Kasawa Rais mstaafu wa awamu ya nne Mh.Jakaya Kikwete amesema Taifa la Tanzania lipo salama chini ya uongozi wa Rais mpya Samia Suluhu, kwani rais huyo anafahamu kile kilicho fanyika Tanzania, kinachostahili kufanyika  pamoja na mipango ya Serikali…

21/03/2021, 13:57

Hatimaye zoezi la kumuaga Dkt John Magufuli lahamia Dodoma

Na; Mariam Kasawa Wakazi wa Mkoa wa Dodoma na maeneo ya jirani wametakiwa kujitokeza mapema katika uwanja wa Jamhuri kwaajili ya kushiriki zoezi la kumuaga hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Akizungumza na waandishi wa habari Msemaji mkuu wa Serikali Dkt.Hassani…

21/03/2021, 11:57

Zoezi la maandalizi lakamilika Jamhuri

Na; Mariam Kasawa Zoezi la kuandaa uwanja wa Jamhuri kwaajili ya kuupokea mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli mpaka sasa yamekwisha kamilika . Akizungumza na vyombo vya habari  Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri mkuu Patrobas Katambi amesema…

21/03/2021, 10:30

Marais wa nchi 10 kumuaga Magufuli Dodoma

Na ; Mariam Kasawa. Marais  zaidi ya 10 wa Mataifa mbalimbali Duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli itakayofanyika kesho mjini Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema hadi sasa ana orodha…