Habari za Jumla
Januari 6, 2023, 11:40 mu
Watoto wote waende Shule-Rc Mtaka
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewataka wazazi/walezi wenye watoto waliofikia umri wa kuanza darasa la kwanza kuwapeleka shule ifikapo tarehe 9, Januari 2023. Akizungumza na wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe kwenye Baraza la 7 la wafanyabiashara…
Januari 4, 2023, 9:31 mu
Daraja lasombwa na Maji Mwakauta-Makete
Daraja la Mbao lililokuwa likitumiwa na watembea kwa miguu wanaovuka kutoka Kijiji cha Mwakauta kwenda kupata huduma za Afya Hospitali ya Bulongwa limesombwa na Maji baada ya mvua kubwa kunyesha siku kadhaa zilizopita. Ni siku 5 zimepita wananchi wa…
Januari 3, 2023, 8:01 um
Wananchi wabeba Tofali kujenga Bwalo la Wanafunzi Sekondari
Wananchi wa Kata ya Iniho Wilaya ya Makete wameshiriki katika kazi ya kusogeza tofali kwa ajili ya ukamilishaji ujenzi Bwalo la Shule ya Sekondari Mwakavuta baada ya changamoto ya barabara na magari ya mizigo kushindwa kufikisha vifaa eneo la…
Disemba 30, 2022, 8:08 um
Milioni 200 Kujenga Mradi wa Maji Kijiji cha Tandala Wilayani Makete
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Antoni Sanga amesema Serikali imetoa fedha Milioni 200 kukabiliana na uhaba wa Maji kijiji cha Tandala Kata ya Tandala Wilayani Makete. Mhandisi Sanga leo amefika Tandala na kukutana na viongozi wa Kijiji ambapo…
Disemba 30, 2022, 8:22 mu
Mzazi atakayemtorosha mwanafunzi atasoma yeye-Dc Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amewataka wazazi kuacha tabia ya kutowapeleka wanafunzi shule na kuwatorosha kwenda mijini kufanya biashara huku wakijua wanawanyima watoto haki ya Msingi ya kupata elimu. Mhe. Sweda amesema mzazi/mlezi ambaye hatompeleka mwanafunzi…
Disemba 30, 2022, 6:54 mu
Waandishi wa Habari wakutana Mkoani Njombe
Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Njombe, Njombe press club NPC kimefanya mkutano mkuu mkoa humo huku agenda kuu za mkutano huo mkuu ikiwa ni Marekebisho ya katiba pamoja na kubariki uongozi wa muda ulio kuwa umechaguliwa kuendelea…
Disemba 30, 2022, 6:39 mu
Afariki Dunia kwa kusombwa na Maji Makete
Bibi anayekadiriwa kuwa na miaka zaidi ya 80 afariki kwa kusombwa na Maji kijiji cha Lupalilo Wilaya ya Makete akijaribu kuvuka mto juu ya daraja dogo katika mto Idetele unaotenganisha Kijiji cha Lupalilo na Ilevelo. Baadhi ya wanandugu wamesema…
Disemba 29, 2022, 7:54 mu
Milioni 170 kujenga Daraja Kijiji cha Makwaranga-Makete
Serikali imeanza ujenzi wa Daraja la Zege litakalounganisha Kijiji cha Ipelele na Makwaranga Kata ya Ipelele Wilaya ya Makete lenye thamani ya zaidi ya Milioni 170. Daraja hilo litawafanya wananchi wa vijiji hivyo kutumia barabara ya Ipelele-Makwaranga yenye urefu wa…
Disemba 29, 2022, 7:45 mu
Barabara ya Lami Km 36 kujengwa Makete
Barabara ya Makete-Mbeya kufunguka kwa lami Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema Serikali itaendelea na ujenzi wa barabara za lami katika mikoa ya nyanda za juu kusini ili kuunganisha vema ukanda huo na bandari ya Mtwara na hivyo kurahisisha shughuli za…
20 Disemba 2022, 11:18 mu
Rungwe yavuka malengo chanjo ya Uviko-19
KIPINDI: Sikiliza kipindi cha mimi na afya yangu makala maalumu kuhusu Uvumi juu ya chanjo ya Uviko-19 wilayani Rungwe. sikiliza hapa sehemu ya kwanza .