HAI
24 April 2024, 2:32 pm
Kuelekea miaka 60 ya Muungano ,Masama kusini wapanda miti 1650
Katika kuelekea miaka 60 ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kata ya Masama Kusini wapanda miti,Diwani asema ni utunzaji wa mazingira. Na Janeth Joachim Diwani wa kata ya Masama Kusini Cedrick Pangani amewataka wananchi kuotesha miti katika maeneo yao katika…
22 April 2024, 2:00 pm
Prof. Mkenda aeleza maendeleo yaliyofanyika Rombo
Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda afanya mkutano na wajumbe kutoka tarafa ya Mengwe,aeleza miradi kedekede ya maendeleo iliyofanyika na inayoendelea Rombo. Na Elizabeth Mafie Mbunge wa Rombo Profesa Adolf Mkenda ambae ndie waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia hapa…
13 April 2024, 8:58 am
Mfumo wa kubaini ukame tumaini jipya kwa wakulima Kilimanjaro
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi ambayo yamekuwa yakileta athari kwa wakulima na watumia maji Taasisi ya Nelson Mandela ya sayansi na teknolojia wabaini mfumo wa kubaini ukame mapema. Na Elizabeth Mafie Wadau wa Mazingira kutoka taasisi ya Nelson Mandela…
9 April 2024, 9:20 pm
Bodi ya maji Uroki Bomang’ombe yapeta, wadau waridhishwa na huduma
Bodi ya maji Uroki Bomang’ombe wafanya mkutano na wadau wa maji,waeleza mafanikio ndani ya miaka mitatu,wadau wakiri huduma za maji zimeboreshwa. Na Elizabeth Mafie Bodi za maji za wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinafanya kazi kwa weledi…
5 March 2024, 1:33 pm
Wanawake Hai watakiwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa
Wanawake wilayani Hai wametakiwa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani inayotarajiwa kuadhimishwa Machi 8 mwaka huu. Na Elizabeth Mafie Wanawake wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujitokeza kushiriki…
23 February 2024, 10:06 am
Waliochukua mikopo Hai watakiwa kurejesha
Vikundi vya vijana ,wanawake na watu wenye ulemavu wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha mikopo waliyochukua katika halmashauri ya wilaya hiyo kama utaratibu unavyoelekeza. Na Janeth Joachim Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha fedha za mikopo ya halmashauri zinazotolewa…
7 February 2024, 5:57 pm
Ulevi chanzo cha uhalifu Machame
Kutokana na baadhi ya wananchi kutumia vilevi mbalimbali wakati wa kazi imetajwa kuwa sababu ya vitendo vya uhalifu pamoja na ukatili. Na Janeth Joackimu Wananchi wa kijiji cha Nronga Kilichopo kata ya Machame Magharibi wametakiwa kuacha tabia ya unywaji wa…
20 November 2021, 9:08 am
Semina ya wajasiriamali
Madiwani wasaidieni wananchi kuzitambua fursa za kiuchumi: Diwani kata ya Bomang’ombe Na Salma Shaban HAI Diwani wa kata ya Bomang’ombe wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Evod Njau amewaomba madiwani kote nchini kuwasaidia wananchi wakimemo wajasiriamali ikiwa ni pamoja na kutekeleza ahadi…