Baraka FM
Baraka FM
12 December 2025, 19:12 pm
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amemuagiza Mkurugenzi wa COPRA kuhakikisha mazao ya Ruvuma, Lindi na Mtwara yapitie Bandari ya Mtwara ili kuongeza tija, kurahisisha upakiaji na kuhakikisha fursa zinabaki kwa wakazi wa mikoa hiyo Na Musa Mtepa Waziri wa kilimo…
24 November 2025, 13:01
Jamii na wadau wa maendeleo wameshauriwa kuendelea kujtokeza na kuwasaidia watoto wenye ulemavu ili waweze kujiona ni sehemu ya jamii Na Hagai Ruyagila Katika kuunga mkono jitihada za serikali kwa kuboresha sekta ya elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum, Kampuni…
28 October 2025, 14:32
Serikali imewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanawapa watoto wenye ulemavu nafasi ya kwenda shule ili wapate elimu kama watoto wengine Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa Kuwapatia fursa watoto wao wenye mahitaji maalumu kushiriki katika…
26 October 2025, 09:28 am
Wananchi wa Mtwara wameishukuru Serikali ya awamu ya Sita kwa kujenga Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, hatua iliyowapunguzia gharama na safari za kwenda Dar es Salaam kutafuta huduma za kibingwa, huku wakiiomba serikali kuendelea kuboresha huduma hizo kwa…
24 October 2025, 15:32
Halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma imewataka watu wenye ulemavu kujitokeza na kuchangamkia mikopo inayotolewa kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Na Hagai Ruyagila Watu wenye Ulemavu katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia fursa…
23 October 2025, 15:30
Watu wenye ulemavu wameomba jamii kutoendelea kuwanyanyapaa badala yake wawaelekeze na kuwasaidia ili nao waweze kufanya shughuli za kuwaingizia kipato na kuchangia pato la familia na Taifa Na Mwandishi wetuMgombea ubunge Jimbo la Kigoma kusini Nuru Kashakali maarufu Kandahari ameahidi…
22 October 2025, 09:51
Watu wenye mahitaji maalum hawana budi kushirikishwa kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi ikiwa ni sehemu ya kujenga jamii jumuishi Na Hagai Ruyagila Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umetoa msaada wa viti mwendo 11 vyenye thamani ya shilingi…
2 October 2025, 13:29 pm
Bandari ya Mtwara imeongeza usafirishaji wa mizigo kwa asilimia 49 kati ya 2023/2024, ikihusisha korosho na makaa ya mawe, huku idadi ya makampuni ya meli ikiongezeka Na Gregory Milanzi Mtwara-September 29,2025 – Ukusanyaji na usafirishaji wa mizigo kupitia Bandari ya…
25 September 2025, 15:50
Kusaidia watu wenye mahitaji ni sehemu ya maagizo ya Mungu kwenye maandiko Matakatifu yaani Biblia Yakobo 1:27 inasema “Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda…
17 September 2025, 9:16 am
Kwa mujibu wa takwimu, katika mwaka wa fedha 2024/2025 wanachama 15,000 waliandikishwa kwenye mfuko wa bima ya afya ICHF wilayani Kilosa na tangu kuanza kwa mwaka wa fedha huu wa 2025, hadi sasa, wanachama 2,590 tayari wamejiunga na kupatiwa kadi…