Uyui FM Radio

Jamii

19 March 2024, 4:20 pm

RC Chacha awataka watumishi kuwatendea haki wananchi

watumishi mkoani Tabora wametakiwa kufanya kazi kwa bidii huku wakiwatendea haki wananchi. Na Zaituni Juma Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka watumishi mkoani hapa kuuthamini umma wanao uongoza. Ametoa rai hiyo mara baada ya kuwasili katika ofisi ya…

7 October 2021, 7:53 pm

Mufti ahimiza waislam kushirikiana na serikali

Mufti Mkuu wa Tanzania sheikh Abubakar Zubeir Ally amewataka viongozi wa dini ya kiislam mkoani Tabora kuendeleza ushirikiano na viongozi wa serikali ili kuhakikisha wanafanya kazi kwa ufanisi, weledi pamoja  na kuzingatia madili ya dini. Wito huo ameutoa mjini Tabora…