Unyanja FM
Unyanja FM
April 20, 2024, 12:01 pm
Ruhundwa amesema vitendo vya upendeleo wakati wa kuwahoji viongozi au wanachama wa vyama vya siasa hususan nyakati za uchaguzi zinaweza kuleta chuki na kusababisha migogoro mikubwa na hata ugomvi kati ya Waandishi au watoa maadhui na wanasiasa au wafuasi wa…
October 31, 2023, 10:43 am
Serikali yazidi kuimarisha miundombinu ya barabara na maji Nyasa Mkuu wa wilaya ya nyasa MH.FILBERTO HASSAN SANGA amewahasa wananchi kutumia vizuri fursa za uchumi zinapojitokeza hasa kilimo na uvuvi kwa kuwa ndio shughuli tegemezi na zinazofanywa na watu wengi wilayani…
September 12, 2023, 9:24 am
Umuhimu wa chanjo ya UVIKO 19 kwa wana jamii na kuchukua tahadhari ili kujilinda dhidi ya maambukizi ya mlipuko huo. Mtalaam wa afya kutoka ofisi ya Mganga mkuu wilaya ya Nyasa Dr Richard Kubingwa Akitoa elimu ya uchanjaji na kujikinga…
September 12, 2023, 8:16 am
lengo la mradi huo ni kuhakikisha jamii hasa vijijini wanapata huduma ya intanenti yenye kasi na gharama zinazoweza kufikiwa na watu wote Mkurugenzi wa Tzcna Dr Matogolo jabhera akifunga kifaa cha kusaidia upatikanaji wa intaneti katika shule ya sekondari luhangarasi…
September 11, 2023, 9:46 am
Walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Nyasa wapatiwa mafunzo kuhusu manunuzi ya umma. Na Sichali Netho Halmashauri ya wilaya ya Nyasa Septemba 9, 2023 imetoa mafunzo ya mfumo wa manunuzi wa umma (NeST) kwa wataalam kutoka shule za…
October 13, 2021, 9:13 am
Wanawake wa wilaya ya nyasa mkoani Ruvuma,wailalamikia serikali kwa kukosa fursa ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo uvuvi katika ziwa nyasa na uuzaji wa samaki. unyanja fm ilifika mpaka ziwani na kuongea na baadhi ya wanawake hao,wanao jihusisha na biashara ya…
Introduction
Unyanja Fm is a community Based Radio station intending to cover Nyasa and the nearby District area.
It is first swahili broadcasting radio station to be established in the district and Lake Nyasa Zone.
The Radio station is located at Nangombo Parish Buildings in the Village of Nangombo.
OUR MOTTO; fahari kwa jamii
Objectives
Mission.
To empower knowledge, awareness and raise concerns of the community in order to increase their participation in local and national development programs.
Vision.
Radio Station accessible and acceptable to the community provides efficient reliable and unbiased services for the development of both; the people and the station to enable them growing together.
Values
Professionalism, Creativities, public interest, equality, gender Sensitivity, innovations and team working.
Ownership
Owned by the UNYANJA FM LIMITED
Management.
Board of Directors and operations Team deals with daily activities.
Services offered by the station.
Competence /strength.
KARIBU SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!