December 3, 2024, 11:39 am

Veta Nyasa Fursa kwa kujiajiri

Chuo cha Ufundi Stadi Veta Nyasa kimefanya Mahafali yake ya kwanza mahafali yaliyofanyika hivi karibuni  katika Viwanja vya Chuo hicho na Mgeni Rasmi katika Mahafali hayo ni Mkuu Wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Peres Magiri . kwenye picha ni mgeni…

Offline
Play internet radio

Recent posts

October 14, 2025, 7:38 pm

Mwana wa Afrika Neema kwa wakulima Nyasa

Akizungumza katika Mafunzo hayo,  Mkurugenzi wa Mwana wa Afrika,  Bi. Rhoda Mwita Amesema kuwa Wakulima hawana budi kufanya kilimo Tija kwani hili ni hitaji kubwa hasa katika jamii nyingi nchini na ndiyo maana Wameamua kutoa mafunzo kwa Wakulima ili kuimarisha…

October 12, 2025, 9:48 am

Bonanza: Watumishi Nyasa, uchaguzi

Kujiandaa na kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura kwani hiyo ndio njia pekee ya kupata kiongozi bora na atakayefaa katika jamii. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Nyasa, Ndg Khalid Khalifa ameandaa Bonanza maalumu la watumishi Wilayani humo likilenga kuboresha Afya…

October 12, 2025, 9:26 am

Takukuru Nyasa na jengo jipya

picha ya jengo la Takukuru Nyasa Akizungumza katika tukio hilo, Bw. Chalamila amewapongeza viongozi wote sambamba na wananchi kwa kusimamia zoezi la ujenzi mpaka linakamilika huku akiwaasa kuwa viongozi wa dini, vyama, wananchi waendelee kupiga vita rushwa kwa kuripoti matukio…

October 10, 2025, 9:54 am

Siku ya afya ya akili duniani Dkt. Hokololo atoa somo

Kwenye picha ni Dkt. Hokororo mtalamu wa Afya ya Akili kutoka hospitali ya wilaya ya Nyasa Hayo yameelezwa na Mtaalamu wa Masuala ya kiafya ya akili na Saikolojia, Dkt. Hokololo akizungumza na Unyanja Fm katika kipindi maalumu ambapo amesema kuwa…

September 17, 2025, 11:29 am

Nyasa waaswa kuchangamkia fursa za bandari

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Perresi Magiri amewaasa wananchi wa Nyasa kuwa na tabia ya kuzichungulia fursa mbalimbali kwa kutazama changamoto zilizopo katika jamii. Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Perresi Magiri amewaasa wananchi wa Nyasa kuwa na tabia…

September 17, 2025, 11:05 am

DC Nyasa: Mgombea urais CCM apokelewe kwa ‘vibe’

kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Nyasa Mh perres Magili Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mh. Perresi  Magiri amewaasa wananchi kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya mgombea nafasi ya Urais Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na mgombea mwenza…

August 25, 2025, 12:58 pm

DC Nyasa afunga mafunzo ya jeshi la akiba

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya Jeshi la akiba yaliyoanza rasmi tarehe 9 Aprili,2025 yakiwa na Wanafunzi 16 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya…

May 26, 2025, 12:49 pm

Mamba kitoweo kwa jamii ya Nyasa

Wakati maeneo mengine wanamuona mamba kama mnyama mkali lakini sivyo kwa wilaya ya nyasa ambako baadhi ya sehemu amefanywa kitoweo na wahusika kufurahia ladha yake Na Mussa ndonde Hayo yameelezwa  na wananchi wa kijiji cha nangombo kitongoji cha tembwe kinachopitiwa…

December 3, 2024, 11:39 am

Veta Nyasa Fursa kwa kujiajiri

Chuo cha Ufundi Stadi Veta Nyasa kimefanya Mahafali yake ya kwanza mahafali yaliyofanyika hivi karibuni  katika Viwanja vya Chuo hicho na Mgeni Rasmi katika Mahafali hayo ni Mkuu Wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Peres Magiri . kwenye picha ni mgeni…

About Unyanja FM Radio

Introduction

Unyanja Fm is a community Based Radio station intending to cover Nyasa and the nearby District area.

It is first swahili broadcasting radio station to be established in the district and Lake Nyasa Zone.

The Radio station is located at Nangombo Parish Buildings in the Village of Nangombo.

OUR MOTTO; fahari kwa jamii

Objectives

  • To establish Radio station that contributes to development.
  • Well gathered Community knowledge and practices disseminated.
  • Radio Programs  based on social protection, Gender, employment creation, Environment, Good governance Economy, Education, Health, Culture Sport,  arts and entertainment are designed prepare and aired.
  • Outreach programs that will advocate various community issues are conducted.

Mission.

To empower knowledge, awareness and raise concerns of the community in order to increase their participation in local and national development programs.

Vision.

 Radio Station accessible and acceptable to the community provides efficient reliable and unbiased services for the development of both; the people and the station to enable them growing together.

Values

Professionalism, Creativities, public interest, equality, gender Sensitivity, innovations and team working.

Ownership

Owned by the UNYANJA FM LIMITED

Management.

Board of Directors and operations Team deals with daily activities.


Services offered by the station.

  • Preparing of Radio Programs and airing them.
  • Production of Radio Jingles and advertisements.
  • Outreach Programs.
  • Collaborating with other organizations
  • Participating in various community activities.
  • Organizing various Event/activities

Competence  /strength.

  • The professionals, skilled, talented and experienced personnel.
  • Peculiar styles of programs presentation, quick feedback and response from the audience through  phones  and social media
  • The first Swahili and only broadcasting radio station located in Nyasa..
  • Enough coverage estimated to reach population of 400,000 people in the coverage area.
  • The stations use online services.
  • Strong partnership with experienced local radio, National, international Radio stations, civil organization, charity group and International Organization.
  • Member of Various NATIONAL and INTERNATIONAL MEDIA ORGANIZATION.

                           KARIBU SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!