Triple A FM

Jamii

17 March 2024, 10:21 pm

Wanahabari wanawake waweka rekodi Arusha

Na Joel Headman Umoja wa kwanza wa wanawake wanahabari ngazi ya mkoa nchini umezinduliwa mkoani Arusha. Umoja huo uliopewa jina la Arusha Women in Media umezinduliwa jijini Arusha Jumamosi Machi 16, 2024. Akizungumza mwenyekiti wa umoja huo Jamila Omar amesema…

24 February 2024, 10:26 pm

Hivi ndivyo ajali ilivyoua 15 Arusha

Na Joel Headman. Watu 15 wamefariki dunia papo hapo mkoani Arusha katika ajali ya barabarani iliyohusisha magari matatu. Akiwa katika eneo la Kibaoni Ngaramtoni ilikotokea ajali hiyo, Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha SACP Justine Masejo amesema ajali hiyo imetokea…