Radio Tadio

Wito

5 January 2024, 11:23 pm

Wanafunzi wasiokuwa na sare kuendelea na masomo

Zikiwa zimebaki siku chache shule za msingi na sekondari kufunguliwa hapa nchini mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu atoa wito kwa wakuu wa shule. Na Elizabeth Mafie Wito umetolewa kwa wakuu wa shule za msingi na sekondari katika mkoa…

4 February 2023, 5:53 pm

Wito watolewa kwa vijana wa vyuo vikuu

Wito umetolewa kwa jamii hasa vijana wa vyuo kujijengea uwezo wa kusaidia kutoa huduma ya kwanza pindi yanapotokea majanga ili kuokoa maisha ya wahanga waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ajali Na Fred Cheti. Wito huo umetolewa na Gofrey Mutasilwa Mratibu wa…