Radio Tadio

WAUVI

31 May 2023, 12:37 pm

Serikali kuwaunga mkono wajasiriamali wa WAUVI

Wajasiriamali hao wametakiwa kuacha kutengeneza bidhaa kwa mazoea badala yake wabadilike na kupiga hatua. Na Alfred Bulahya. Zaidi ya wanachama 3000 wa taasisi ya wanawake na uchumi wa viwanda mkoa wa Dodoma, wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali yaliyohusu usindikaji wa vyakula,…

2 May 2023, 12:21 pm

Wanachama wa WAUVI waanza uzalishaji wa bidhaa

Mafunzo hayo yamekuwa yakiratibiwa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo sido mkoa wa Dodoma. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 80 ya wanachama wa Taasisi ya wanawake na Uchumi wa Viwanda wilaya ya Dodoma Mjini WAUVI wameanza kufanya uzalishaji wa…

28 March 2023, 2:00 pm

WAUVI yazindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Dodoma

Mafunzo hayo yamezinduliwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo bi Habiba Ryengite yatakaohusisha wanawake 400. Na Alfred Bulahya Taasisi ya Wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI imezindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Jijini Dodoma kwa ajili ya kuwawezesha kutengeneza…