waganga
9 July 2026, 16:16
Ushirikiano wa jamii, polisi wapunguza matukio ya uhalifu Chang’ombe
Kwa pamoja, Jeshi la Polisi na wananchi wanaendelea kuthibitisha kuwa ushirikiano ni silaha muhimu katika kupambana na uhalifu na kuhakikisha amani, usalama na maendeleo ya Mkoa wa Dodoma yanayo endelea kudumu. Na Anwary Shaban. Ushirikiano kati ya wananchi na Jeshi…
13 January 2023, 15:56
Waganga wa tiba asili waomba mafunzo kutoka wizara ya Afya
Na; Mariam Matundu. Waganga wa tiba asili nchini wameiomba wizara ya afya kuwezesha waganga kote nchini kupata mafunzo ya namna bora ya kufanya kazi zao yatakayosaidia kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa . Akizungumza mwenyekiti wa umoja wa waganga wa tiba…
29 November 2021, 13:56
Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na India
Na; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya Uganda katika mambo mbalimbali ikwemo katika masuala ya elimu na biashara ili kuendelea kukuza uhusiano uliopo baina ya nchi hizo. Hayo yamesemwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…