
Radio Tadio
13 January 2023, 3:56 pm
Na; Mariam Matundu. Waganga wa tiba asili nchini wameiomba wizara ya afya kuwezesha waganga kote nchini kupata mafunzo ya namna bora ya kufanya kazi zao yatakayosaidia kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa . Akizungumza mwenyekiti wa umoja wa waganga wa tiba…
29 November 2021, 1:56 pm
Na; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya Uganda katika mambo mbalimbali ikwemo katika masuala ya elimu na biashara ili kuendelea kukuza uhusiano uliopo baina ya nchi hizo. Hayo yamesemwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…