Radio Tadio

vvu

1 December 2022, 10:38 pm

Maambukizi mapya ya VVU Manispaa ya Mpanda yashuka mbaka 3.5%

MPANDA Katika kuadhimisha siku ya ukimwi duniani Manispaa ya mpanda imefanikiwa kupunguza maambukizi mapya ya virusi na kufikia asilimia 3.5. Akizungumza na mpanda radio fm mganga mkuu manispaa ya mpanda dk paul swankala amesema takwimu ya 3.5 inamaanisha kila wagonjwa…

22 April 2022, 1:53 pm

Serikali yashauriwa kusimamia malipo kwa wafugaji

Na;Yussuph Hassan. Serikali Nchini imeshauriwa kusimamia kwa kina suala la malisho kwa wafugaji kwani kundi hilo limekuwa likichangia kwa kiasi kubwa shughuli za kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Nchini Jeremia Wambura amesema kuwa…