Radio Tadio

vvu

12 Febuari 2026, 2:37 um

Kutembeza mifugo nyakati za usiku ni kosa kisheria

Wananchi wa Wilaya ya Ihumwa wanasema mifugo inapo pelekwa machinjioni nyakati za usiku huchanganywa na mifugo iliyo ibiwa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Ihumwa wamelalamika mifugo inayopitishwa nyakati za usiku kwenda machinjioni wakidai kuwa huchanganywa kati ya mifugo…

10 Febuari 2026, 11:51 mu

Wananchi Ihumwa wataka suluhisho wizi wa mifugo

Hayo yana jiri ikiwa ni siku chache tangu familia moja kuibiwa Ngombe wote walio kuwa zizini katika kitongoji Cha Ilolo kata ya Ihumwa. Na Victor Chigwada.Changamoto ya wizi wa mifugo imebua sauti za wakazi wa Mtaa wa Ihumwa na viunga…

3 Septemba 2025, 5:26 um

Zoezi la chanjo ya mifugo lazinduliwa Mbalawala Dodoma

Uzinduzi wa Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Nchini Tanzania ulifanyika tarehe 16 Juni 2025 katika Viwanja vya Nyakabindi, Bariadi, Mkoa wa Simiyu, katika hafla hiyo, Rais Samia alizindua rasmi kampeni ya kitaifa ya chanjo ya mifugo na utambuzi wa wanyama,…

7 Agosti 2024, 7:10 um

Vijana na wanawake watakiwa kuigeukia fursa ya ufugaji na uvuvi

Nini kinachowakwamisha vijana kujikita katika Sekta ya Ufugaji? Na Fred Cheti.Vijana na Wanawake wametakiwa kuzigeukia fursa za Ufugaji na Uvuvi kupitia mitaji wanayopata badala ya Biashara pekee ili waweze kujikwamua kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mkuu…

1 Disemba 2022, 10:38 um

Maambukizi mapya ya VVU Manispaa ya Mpanda yashuka mbaka 3.5%

MPANDA Katika kuadhimisha siku ya ukimwi duniani Manispaa ya mpanda imefanikiwa kupunguza maambukizi mapya ya virusi na kufikia asilimia 3.5. Akizungumza na mpanda radio fm mganga mkuu manispaa ya mpanda dk paul swankala amesema takwimu ya 3.5 inamaanisha kila wagonjwa…

22 Aprili 2022, 1:53 um

Serikali yashauriwa kusimamia malipo kwa wafugaji

Na;Yussuph Hassan. Serikali Nchini imeshauriwa kusimamia kwa kina suala la malisho kwa wafugaji kwani kundi hilo limekuwa likichangia kwa kiasi kubwa shughuli za kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Nchini Jeremia Wambura amesema kuwa…