vvu
3 September 2025, 5:26 pm
Zoezi la chanjo ya mifugo lazinduliwa Mbalawala Dodoma
Uzinduzi wa Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Nchini Tanzania ulifanyika tarehe 16 Juni 2025 katika Viwanja vya Nyakabindi, Bariadi, Mkoa wa Simiyu, katika hafla hiyo, Rais Samia alizindua rasmi kampeni ya kitaifa ya chanjo ya mifugo na utambuzi wa wanyama,…
7 May 2025, 1:38 pm
Serikali yaandaa zoezi la kuchanja, kutambua mifugo nchini
Hali ya Uzalishaji wa mazao ya Uvuvi ,Waziri Kijaji amesema umeongezeka kutoka tani ,laki nne na elfu sabini na nne na elfu themanini na moja kwa mwaka 2021 hadi kufikia tani laki tano ,ishirini na mbili na mia saba themanini…
7 August 2024, 7:10 pm
Vijana na wanawake watakiwa kuigeukia fursa ya ufugaji na uvuvi
Nini kinachowakwamisha vijana kujikita katika Sekta ya Ufugaji? Na Fred Cheti.Vijana na Wanawake wametakiwa kuzigeukia fursa za Ufugaji na Uvuvi kupitia mitaji wanayopata badala ya Biashara pekee ili waweze kujikwamua kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mkuu…
14 June 2023, 3:24 pm
Asilimia 97 watumiaji dawa wamefanikiwa kufubaza virusi vya Ukimwi
Waziri Ummy ametoa wito kwa Watanzania kwenda kupima kujua hali zao lakini kwa ambao wanajua hali zao dawa za UKIMWI zipo na zinatolewa bila malipo na vipimo vya kujipima mwenyewe vipo kwahiyo Watanzania wajitokeze kupima ili tutokomeze UKIMWI ifikapo mwaka…
1 December 2022, 10:38 pm
Maambukizi mapya ya VVU Manispaa ya Mpanda yashuka mbaka 3.5%
MPANDA Katika kuadhimisha siku ya ukimwi duniani Manispaa ya mpanda imefanikiwa kupunguza maambukizi mapya ya virusi na kufikia asilimia 3.5. Akizungumza na mpanda radio fm mganga mkuu manispaa ya mpanda dk paul swankala amesema takwimu ya 3.5 inamaanisha kila wagonjwa…
1 December 2022, 8:22 am
Vijana jijini Dodoma kufikiwa na elimu ya maambukizi ya vvu
Na; Benard Filbert. Ofisi ya mganga mkuu wa Mkoa wa Dodoma imejipanga kuwafikia vijana ambao wanahisiwa kuwa na virusi vya Ukimwi kwa ajili ya kuwapa elimu katika vituo vya kutolea huduma rafiki ili kupunguza maambukizi hayo. Taarifa hiyo imetolewa na…
22 April 2022, 1:53 pm
Serikali yashauriwa kusimamia malipo kwa wafugaji
Na;Yussuph Hassan. Serikali Nchini imeshauriwa kusimamia kwa kina suala la malisho kwa wafugaji kwani kundi hilo limekuwa likichangia kwa kiasi kubwa shughuli za kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Nchini Jeremia Wambura amesema kuwa…
4 November 2021, 12:32 pm
Ukosefu wa elimu wapelekea wafugaji kushindwa kupata faida ya mazao ya mifugo ya…
Na ;Thadei Tesha. Wito umetolewa kwa taasisi mbalimbali zinazohusika na kutoa elimu juu ya kuwapa wafugaji elimu ya njia bora za ufugaji kuwa na utaratibu wakuwatembelea wafugaji hususani vijijini. Taswira ya habari umefanya mahojiano na baadhi ya wafugaji jijini hapa…