Radio Tadio

Vifungashio

13 July 2026, 15:27

Unyanyapaa kikwazo kwa wenye ulemavu wanaoishi na VVU

Kwa kuendelea kutoa elimu na kuondoa unyanyapaa, wadau wanaamini kampeni ya “Na Sisi Tupo” itasaidia kujenga jamii yenye usawa, inayowathamini watu wenye ulemavu wanaoishi na Virusi vya ikimwi  na kuwawezesha kuishi maisha yenye matumaini na heshima. Na Anwary Shaban. Unyanyapaa…

12 December 2024, 16:43

Unyanyapaa kikwazo cha watu kuweka wazi hali ya afya zao

Aidha ameongeza kuwa vifo vya Watoto vinavyotokana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi mkoani Dodoma vimepungua. Hofu ya kuogopwa kutengwa katika jamii imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachowafanya baadhi ya watu kushindwa kuwaweka wazi watu wao wa karibu pindi wanapokutwa na…

11 April 2023, 13:00

Serikali yapiga marufuku matumizi ya vifungashio vya plastiki

Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni ilipiga marufuku matumizi yasiyo sahihi ya mifuko  laini ya plastiki kutumika kama vibebeo vya bidhaa huku jambo hilo likitajwa kuwa ni ukiukwaji wa sheria  ambapo imeahidi  kuwachukulia hatua wanaofanya hivyo Baada ya tamko hilo…