
Radio Tadio
12 December 2024, 4:43 pm
Aidha ameongeza kuwa vifo vya Watoto vinavyotokana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi mkoani Dodoma vimepungua. Hofu ya kuogopwa kutengwa katika jamii imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachowafanya baadhi ya watu kushindwa kuwaweka wazi watu wao wa karibu pindi wanapokutwa na…
11 April 2023, 1:00 pm
Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni ilipiga marufuku matumizi yasiyo sahihi ya mifuko laini ya plastiki kutumika kama vibebeo vya bidhaa huku jambo hilo likitajwa kuwa ni ukiukwaji wa sheria ambapo imeahidi kuwachukulia hatua wanaofanya hivyo Baada ya tamko hilo…