
Ukoma

24 January 2025, 12:30 pm
Wanafunzi 119 Mkoka wakabiliwa na upungufu wa viti mwendo
Dkt. Omary Nkullo ameahidi kuzichukua changamoto zote na kuzifanyia kazi ikiwemo kuona namna ya kuwaajiri walimu wanaojitolea kuwafundisha wanafunzi wenye ulemavu katika kituo hicho. Na Mariam Kasawa.Wanafunzi 119 wenye mahitaji maalum waliopo katika kituo kilichopo Shule ya Msingi Mkoka wilayani…

19 April 2023, 1:19 pm
Aina za ugonjwa wa Ukoma na tiba zake
Zipo aina mbili za ukoma je ni zipi hizo? Na Yussph Hassan. Leo Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu anazungumzia juu ya aina za Ugonjwa wa ukoma na tiba zake.

18 April 2023, 4:49 pm
Zifahamu dalili za Ukoma
Ufahamu ugonjwa wa ukoma na dalili zake. Ugonjwa wa ukoma huambatana na dalili mbalimbali ambapo dalili hizo huchukua muda kujitokeza na leo tukiendelea kufahamu dalili zake na Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu baada ya…

17 April 2023, 1:55 pm
Ugonjwa wa ukoma ni nini
Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia ugonjwa wa ukoma ambao, ugonjwa huo unaambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwenda kwa mtu mwingine kwa njia ya hewa. Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu unaotokana na ukoma anaanza na…